Makosa Makubwa Wazazi Hufanya Katika Malezi ya Watoto! || Sheikh Rishard Rajab

Je, unawalea watoto kwa njia inayompendeza Allah? Katika khutba hii ya Ijumaa, utajifunza kuhusu makosa makubwa ambayo wazazi wengi hufanya katika malezi ya watoto na jinsi ya kuyaepuka kwa mujibu wa mafundisho ya Uislamu. Malezi bora ni msingi wa familia yenye maadili, watoto wema na jamii imara. Sikiliza nasaha hizi muhimu zinazotokana na Qur'an na Sunnah ili uweze kutekeleza jukumu lako la uzazi kwa ufanisi. Tazama, jifunze na usisahau kushare video hii ili kuwafikishia wazazi wengine ujumbe huu muhimu.