UONGOZI WA KAPUNGA RICE -MBARALI ULIVYOPANGA KUSAIDIA WAKULIMA KUZALISHA MAZAO KWA WINGI.

Wakati wilaya mbarali mkoani mbeya ikiwa na ziada ya chakula zaidi ya tani laki mbili na elfu themanini na sita elfu,mkuu wa mkoa wa mbeya Albert chalamila amewataka wakulima kuendelea kutunza chakula katika kipindi hiki na kuacha kuuza mazao yao nje ya nchi. Chalamila amezungumza hayo wakati akizungumza na viongozi wa shamba la mpunga la kampuni ya Kapunga Rice Project Ltd pamoja na baadhi ta viongozi wa halmashauri ya wilaya ya Mbarali mara baada ya kutembelea eneo la shamaba hilo .