Nchimbi: Watanzania Komaeni mpate Katiba Mpya
Nchimbi: Komaeni mpate Katiba Mpya Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi amesema jambo kubwa ambalo Watanzania wanapaswa kulipa kipaumbele katika mjadala wa mageuzi ya kisiasa ni kupatikana kwa Katiba mpya, akisema ndiyo sheria mama inayoweza kubeba na kusimamia masuala mengine yote ya utawala bora nchini. Dk Nchimbi ameyasema hayo leo Ijumaa, Julai 24, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa Mkutano Mkuu wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), ambapo amesema endapo angepewa nafasi ya kuwaambia Watanzania jambo moja pekee, angewaomba kuendelea kupigania kupatikana kwa Katiba mpya yenye ridhaa ya wadau wote. "Kama ningeambiwa Makamu wa Rais waambie Watanzania jambo moja tu, ningesema pambaneni mpate Katiba mpya. Katiba ambayo ina makubaliano ya wadau wote, Katiba yenye mwafaka katika taifa," amesema. Dk Nchimbi amesema wakati akiwa Katibu Mkuu wa CCM, aliwasilisha kwa aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Rais samia Suluhu Hassan maoni ya kamati ya ilani iliyokuwa imepewa jukumu la kukusanya maoni ya wananchi nchi nzima kuhusu mambo wanayoyataka, ambapo Katiba mpya ilikuwa miongoni mwa hoja kubwa zilizojitokeza. Amesema baada ya kamati hiyo kumueleza kuwa Watanzania wanataka Katiba mpya, alisisitiza umuhimu wa suala hilo kupewa nafasi katika ilani ya uchaguzi ya chama hicho, hasa kwa kuwa tayari kulikuwa na mgombea wa urais aliyekuwa akitarajiwa kuingia madarakani.

Nchimbi: Watanzania Pambaneni Mpate Katiba Mpya—Iliyopo Sasa Inatoa Nguvu Zisizo na Maana

🔴 #LIVE: MJADALA, KWA NINI UMMA UIUNGE MKONO CHADEMA?

NCHIMBI HAKUNA AMANI BILA HAKI, TUPIGANIE KATIBA MPYA

KIKOSI KILIVYOFANYA MAZOEZI YA NGUVU MBELE YA KOCHA MANQOBA | PRE SEASON DAY 2

SUGU opens up on how his JAIL time contributed to his mother's DEATH, beef with RUGE, becoming a ...

Wakili Mahinyila Ashangaa Kauli ya Dk Nchimbi Kuhusu Katiba Mpya, 'Haitaturudisha Nyuma Kudai'

TAARIFA YA HABARI - AZAM TV - 24/07/2026

"Stop Confusing Kenyans! Kama Ni Wanaume, Waresign UDA!" Kioni BLASTS Kang'ata & Ndindi Nyoro

TAHARUKI! MKE MKUBWA na MDOGO WAZICHAPA HOSPITALINI WAKIGOMBEA MAITI ya MUME WAO - WAFUNGUKA MAZITO

DAWA YA RUTO!! Listen to Sifuna Powerful remarks today in Bungoma destroying Kasongo ahead of Mega🔥

NCHIMBI ADDRESSES THE NATION/TOUCHES ON ACTIVISTS AND DISCUSSES THE NEW CONSTITUTION..

DKT NCHIMBI: NATAMANI SIKU MOJA NIKAE NA MARIA SARUNGI "MTETEZI WA HAKI SIO ADUI WA AMANI"

🔴 LIVE | PATAMU..! VIGOGO WAZITO CHADEMA WANAJADILIANA MUDA HUU SAKATA LA LISSU KUELEKEA BARAZA KUU

ZANZIBAR HII HUWEZI KUAMINI

MAKONDA ATANGAZA KUMTAFUTA KIJANA ALIYEFANYA KITENDO HIKI, AAHIDI MIL.MOJA ATOA TATHMINI YA MATIBABU

Heche: Hakuna Mazungumzo Yatakayofanyika Bila Mwenyekiti Kuwa Nje

VICE PRESIDENT URGES TANZANIANS TO FIGHT FOR A NEW CONSTITUTION, "A MOTHER WANTS HER CHILD TO BE ...

Iran claims to have launched drones at U.S. military bases

MWANZO HADI MWISHO MJADALA MAALUMU WA MKUTANO MKUU WA 21 AMECEA/ VIJANA WAHOJI "UBIZE" WA MAASKOFU..

