SIKUKUU YA MAVUNO - 2023 | S.B 13 BAADA YA PENTEKOSTE (UTATU XII)

Karibu katika Sikukuu ya Mavuno kanisani kwetu, katika Msimu wa Kutoa shukrani na kupokea baraka. Tunafurahi kuwaalika nyote kuja kushiriki nasi katika tukio hili la kipekee. Ni wakati ambao tunatambua neema kubwa ambayo Mungu wetu ametubariki nayo. Kama ilivyoandikwa katika Zaburi 67:6, "Nchi imetoa mazao yake Mungu, Mungu wetu, ametubariki." Tunakiri kwamba mazao haya yametoka kwa Mungu na tunataka kumshukuru na kumwabudu kwa kile ambacho ametubariki nacho. Wazo Kuu la Wiki: Huruma za Mungu Kwa Sadaka kupitia Benki na Simu: NBC Corporate Branch: Akaunti Na. 011103013015 Jina : St. Alban’s Church Council TIGO LIPA Namba: 6264396 Jina: St. Alban’s Church Council VODA LIPA Namba: 5065773 Jina: St. Alban’s Church Council