KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA EVENING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING | 23 JUNE 2026

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA EVENING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING | 23 JUNE 2026 UJUMBE WA LEO: VITA YA ULICHOBEBA Neno Kuu: YEREMIA 1:5 LENGO LA SOMO: Mungu kutupa MAARIFA juu ya VITA YA ULICHOBEBA: 👉Kutakakobadilisha Maombi yako unavyoomba na Kujiombea. Yakobo 4:3 3 Hata mwaomba, wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya, ili mvitumie kwa tamaa zenu. 👉 Kuimarisha IMANI yako kwa Mungu Katika Kristo Yesu. Habakuki 2:4 4 Tazama, roho yake hujivuna, haina unyofu ndani yake; lakini mwenye haki ataishi kwa imani yake. 5. (b) KIMIFUMO ....Mtu anaweza Kukataliwa KIMFUMO akajikuta anapigana Vita isiyo na isivyo sahihi na anaweza KUKWAMA kabisa kama asipoweza Kupata Maarifa. MIFANO: (i) DANIEL 👉Daniel alikataliwa KIMFUMO. 👉Mfalme Dario alijua Kabisa Daniel Hana Hatia wala Kosa lakini hakuweza Kumsaidia maana alipigwa Vita KIMFUMO. ALIVUKAJE? ✍️Alitengeneza Mahusiano mazuri na Mungu ALIYEMBEBESHA kitu na kumpa NAFASI. Daniel 1:17 17 Basi, kwa habari za hao vijana wanne, Mungu aliwapa maarifa na ujuzi katika elimu na hekima; Danieli naye alikuwa na ufahamu katika maono yote, na ndoto. ✍️Aliomba saana na Hata katikati ya Vita HAKUACHA KUOMBA. Daniel 6:10 10 Hata Danieli, alipojua ya kuwa yale maandiko yamekwisha kutiwa sahihi, akaingia nyumbani mwake, (na madirisha katika chumba chake yalikuwa yamefunguliwa kukabili Yerusalemu;) akapiga magoti mara tatu kila siku, akasali, akashukuru mbele za Mungu wake, kama alivyokuwa akifanya tokea hapo. ✍️Alikuwa MWAMINIFU kwa Mungu na Kwa Mfalme. Daniel 6:4 4 Basi mawaziri na maamiri wakatafuta sana kupata sababu za kumshitaki Danieli kwa habari za mambo ya ufalme; lakini hawakuweza kuona sababu wala kosa; kwa maana alikuwa mwaminifu, wala halikuonekana kosa wala hatia ndani yake. 👉MUNGU wa Daniel aliingilia kati Kufunga MAKANO ya Simba na Dario alikuwa anamjua Mungu wa Daniel. Daniel 6:16 16 Basi mfalme akatoa amri, nao wakamleta Danieli, wakamtupa katika tundu la simba. Mfalme akanena, akamwambia Danieli, Mungu wako unayemtumikia daima, yeye atakuponya. (ii) ESTA 👉Alikataliwa KIMFUMO Esta 4:9-11 9 Basi Hathaki akaja, akamwambia Esta maneno ya Mordekai. 10 Ndipo Esta akasema na Hathaki, akamtuma tena kwa Mordekai, kusema, 11 Watumwa wote wa mfalme wanajua sana, hata na watu wa majimbo ya mfalme, ya kwamba mtu ye yote, akiwa mwanamume au mwanamke, atakayemjia mfalme katika ua wa ndani, wala hakuitwa, kuna sheria moja kwake, ni kwamba auawe; isipokuwa yeye ambaye mfalme atamnyoshea fimbo ya dhahabu, ili aishi; wala mimi sikuitwa niingie kwa mfalme yapata siku thelathini. 👉Alikuwa AMEBEBESHWA kitu Ndani kilichohitajika Kufanya Kazi wakati Ule. Esta 4:14 14 Kwa maana wewe ukinyamaza kabisa wakati huu, ndipo kutakapowatokea Wayahudi msaada na wokovu kwa njia nyingine; ila wewe utaangamia pamoja na mlango wote wa baba yako; walakini ni nani ajuaye kama wewe hukuujia ufalme kwa ajili ya wakati kama huo? ALIVUKAJE? ✍️MAOMBI YA MFUNGO WA SIKU TATU. Esta 4:15-17 15 Basi Esta akawatuma ili wamjibu Mordekai, 16 Uende ukawakusanye Wayahudi wote waliopo hapa Shushani, mkafunge kwa ajili yangu; msile wala kunywa muda wa siku tatu, usiku wala mchana, nami na wajakazi wangu tutafunga vile vile; kisha nitaingia kwa mfalme, kinyume cha sheria; nami nikiangamia, na niangamie. 17 Basi Mordekai akaenda zake, akafanya yote kama vile Esta alivyomwagiza. LAZIMA KUOMBA TUNAMWITAJI BWANA WARUMI 8:28 28 Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia mema, yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake. AGENDA ZA MAOMBI 1.Ombea ULICHOBEBA na ENEO ambalo Litasahihishwa kwa Mungu kutumia ULICHOBEBA 2.Omba Mungu AKUFUNDISHE VITA. Zaburi 144:1 1 Na ahimidiwe Bwana, mwamba wangu, Anifundishaye mikono yangu vita, Vidole vyangu kupigana. 3.Itia Damu ya Yesu kwenye MIFUMO na Omba KIBALI cha Bwana kwenye MIFUMO. 4.OMBA Msaada na Neema ya Mungu kwako na watu wako na vya kwako Mhubiri Mwl. Eng. Goodluck Mushi Kwa maombi na ushauri : Mch. Kiongozi: Dkt. Eliona Kimaro Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053 Mch. Msaidizi: Anna Kuyonga Simu: +255 713 553 443 YouTube: Kijitonyama Lutheran church Barua Pepe : [email protected]

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA  YA MORNING GLORY -  THE SCHOOL OF HEALING | 23 JUNE 2026
▶︎

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA MORNING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING | 23 JUNE 2026

MAAJABU SABA YA DAMU YA YESU - Innocent Morris
▶︎

MAAJABU SABA YA DAMU YA YESU - Innocent Morris

Pr. Robert Kayanja Surprised by His Family on Father’s Day ❤️
▶︎

Pr. Robert Kayanja Surprised by His Family on Father’s Day ❤️

RESPECTEZ LES ANCIENS  - MARDI 23 JUIN 2026 - PRIERE DU MATIN OFFICIELLE - FRERE BIGOT LUXONER
▶︎

RESPECTEZ LES ANCIENS - MARDI 23 JUIN 2026 - PRIERE DU MATIN OFFICIELLE - FRERE BIGOT LUXONER

PASTOR NATHANIEL BASSEY AT WORSHIP & WARFARE SERVICE MAY 2026  ||17||05||2026
▶︎

PASTOR NATHANIEL BASSEY AT WORSHIP & WARFARE SERVICE MAY 2026 ||17||05||2026

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA  YA  EVENING GLORY -  FRIDAY PRAYER 19 JUNE 2026
▶︎

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA EVENING GLORY - FRIDAY PRAYER 19 JUNE 2026

NGUVU YA MANENO YA KINYWA CHAKO - BISHOP SUNBELLA KYANDO
▶︎

NGUVU YA MANENO YA KINYWA CHAKO - BISHOP SUNBELLA KYANDO

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA  YA MORNING GLORY -  THE SCHOOL OF HEALING | 22 JUNE 2026
▶︎

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA MORNING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING | 22 JUNE 2026

በፈተና ውስጥ ድል |ነብይ ዘነበ ግርማ | Prophet Zenebe Girma |ትንቢታዊ መልዕክት | Halwot E.U.C #2026
▶︎

በፈተና ውስጥ ድል |ነብይ ዘነበ ግርማ | Prophet Zenebe Girma |ትንቢታዊ መልዕክት | Halwot E.U.C #2026

IJUE SIRI YA KUSHINDA VITA ZAKO ZOTE ZA ROHONI | EV DANIELY JOSHUAN | RGCM GOBA CENTER
▶︎

IJUE SIRI YA KUSHINDA VITA ZAKO ZOTE ZA ROHONI | EV DANIELY JOSHUAN | RGCM GOBA CENTER

KARIBU NA WEWE || MAABUDU || RGCM -GOBA CENTRE, DSM
▶︎

KARIBU NA WEWE || MAABUDU || RGCM -GOBA CENTRE, DSM

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA  YA EVENING GLORY -  THE SCHOOL OF HEALING | 22 JUNE 2026
▶︎

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA EVENING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING | 22 JUNE 2026

RESTORING THE ORDER 2026 - DAY-6 #dunsinoyekan #worship #intimacy
▶︎

RESTORING THE ORDER 2026 - DAY-6 #dunsinoyekan #worship #intimacy

🔴#LIVE Gwajima Aisimamisha Dar es Salaam, Wachawi Wakamatwa Live
▶︎

🔴#LIVE Gwajima Aisimamisha Dar es Salaam, Wachawi Wakamatwa Live

SEMINA YA ROHO MTAKATIFU SIKU YA PILI 11/06/2026 by Innocent Morris
▶︎

SEMINA YA ROHO MTAKATIFU SIKU YA PILI 11/06/2026 by Innocent Morris

6EME CRIS DE MINUIT - VENDREDI 05 JUIN 2026 - EGLISE DE DIEU SANCTIFIEE HAITI
▶︎

6EME CRIS DE MINUIT - VENDREDI 05 JUIN 2026 - EGLISE DE DIEU SANCTIFIEE HAITI

መንፈሳዊ  ብስለት // ዶ/ር ማሙሻ ፈንታ //  Dr. Mamusha Fenta 2026
▶︎

መንፈሳዊ ብስለት // ዶ/ር ማሙሻ ፈንታ // Dr. Mamusha Fenta 2026

WORSHIP IN THE HEAVY GLORY OF THE LORD
▶︎

WORSHIP IN THE HEAVY GLORY OF THE LORD

THE SEEING EYES-(ACCESSING THE GIFT OF SIGHT) WITH APOSTLE JOSHUA SELMAN
▶︎

THE SEEING EYES-(ACCESSING THE GIFT OF SIGHT) WITH APOSTLE JOSHUA SELMAN

🔴#LIVE : [23.06.2026] OPERATION KOMBOA FAMILIA( MAOMBI 12)
▶︎

🔴#LIVE : [23.06.2026] OPERATION KOMBOA FAMILIA( MAOMBI 12)