🔵KAULI YA SIMAI BUNGENI SIO MSIMAMO WA CCM - MAGANYA
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa wazazi wa Chama cha Mapinduzi CCM Fadhili Maganya ametoa ufafanuzi kuhusu maoni aliyochangia Mbunge wa baraza la wawakilishi Zanzibar Bungeni Dodoma, Simai Mohammed Said wakati wa majadiliano ya bajeti ya Wizara ya Fedha kuwa hayakua msimamo wa Chama. Akizungumza na waandishi wa habari katika Ofisi ya Umoja wa Wazazi Tanzania Makao Makuu Dodoma amesisitiza kuwa mtu mmoja ndani ya chama kuamua kutoa kauli haiwezi kufanya chama kishindwe kuwa salama wala kuteteleka. Amesema kauli hiyo inayokanganya na kuleta sintofahamu haikutolewa na msemaji wa Chama Cha Mapinduzi, yalikua ni maoni ya mtu binafsi.

▶︎
KUHUSU KAULI YA MHE. SIMAI, WATU WASIKUZE MAMBO, TUTAMWITA ATUSAIDIE HAO WASALITI: KOMRED MBETO

▶︎
SAID MZEE AWACHANA MAKAVU CCM BILA UWOGA WAONGO AWABANA MBAVU HAWA JAMAA 'WAMECHANGANYIKIWA '

▶︎
BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI

▶︎
Kwanini Rwanda na Burundi Ni Nchi, Lakini Buganda Sio? Siri Iliyofichwa Kwenye Ramani ya Afrika.

▶︎
UFAFANUZI WA RAIS SAMIA BAADA YA KUTOKA KWA PUTINI/KWANINI MWANDISHI ALIULIZA KAMA YUNA VIKWAZO

▶︎
SAUTI HII YA TUNDU LISSU ILIVYOWAACHA WATU MDOMO WAZI

▶︎
“4 ኪሎ ያሉ የግብፅ ተላላኪዎች”፣ በድንበር የድሮን ጥቃት፣ ጌታቸውና መከላከያው በዛላንበሳ፣ ፕሬዝዳንቱ ያስሩት ቲክቶከር፣ “ዐቢይ ከኦሮሞ ፀብ ነው”| EF

▶︎
🔴#LIVE; MP SIMAI'S SACRED CONCERNS ABOUT YUDA LAIBUA NEW/VETERAN WRITER MAYALA REVEALS SECRET

▶︎
SALHA ABDALAH ageuka mbogo tetesi za CHANUO kutembea na DR MACHUPA

▶︎
'Frustration': Trump keeps promising Iran deal and getting zero results

▶︎
🔵 MAHINYILA ATEMBEA KWENYE NYAYO ZA LEMA ZA UNABII

▶︎
Kauli ya Mwabukusi ambayo imemponza itakayofanya afutwe uwakili na kuondolewa kuwa Rais wa TLS

▶︎
MHE. SHAKA AWATAKA WAHE. MADIWANI KUTOJIHUSISHA NA MIGOGORO YA ARDHI KINYUME NA SHERIA.

▶︎
Videos capture tornadoes, storms moving across Chicago area

▶︎
hatimaye! MDEE AREJEA CHADEMA LEMA ASHINDWA JIZUIA KWA KISHINDO AMVUTA MDEE

▶︎
HECHE ”SAMIA TULIKUONYA KWENYE UCHAGUZI TUNARUDI Watanzania Wanataka Katiba, Nchi ni Yetu Sote”

▶︎
Tundu Lissu Apewa Adhabu Kali Mahakamani, Heche Afichua Siri Ya Kumkomesha Lissu Gerezani Kumuadhibu

▶︎
Ethiopia - ኢሳያስን ያስደነገጣቸው ዘመቻ ተጀመረ፣ ግብፅና በአሰብ በኩል!፣ በኢራን አስከፊ ውጊያ ተጀመረ፣ የምርጫው ውጤት ይፋ ሆነ

▶︎
DKT.NCHIMBI:MKIONA MBUNGE HATOSHI,HUYU MTOTO ANAWEZA ZIBA PENGO LAKE

▶︎
