13_Jifunze Lugha Ya Kiarabu(Kitabu Cha Pili)_Somo La 13 KAMILI

Hili ni somo la 13 la lugha ya kiarabu katika kitabu cha pili cha Madina (Juzuu ya Pili). Kitabu hiki ni kwa wale waliomaliza kusoma kitabu cha kwanza cha Madina. Maswali unaweza kuacha chini kwenye comments.