SH882 BILIONI ZA UJENZI WA BANDARI YA KWALA ZILIVYOCHOCHEA MAGEUZI YA VIWANDA PWANI
Pwani. Huenda foleni ya malori ndani ya Jiji la Dar es Salaam ikawa inaelekea ukingoni baada ya bandari ya Kwala kuanza kuhudumia mizigo inayoshushwa bandari. Hiyo ni baada ya kontena 700 kuwa tayari zimehudumiwa katika bandari hiyo huku idadi yake ikikadiriwa kuongezeka zaidi pindi bandari hiyo itakapounganishwa na reli ya kisasa (SGR) hivi karibuni. Bandari hiyo kavu inatarajiwa kuhudumia kontena 823 kwa siku zikiwamo zinazokwenda nchi jirani ikiwa ni sawa na kontena 300,395 kwa mwaka sawa na asilimia 30 ya kontena zinazohudumiwa na Bandari ya Dar es Salaam kwa sasa. Hayo yamesemwa leo Jumapili, Machi 16, 2025 na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa wakati akizungumza na wanahabari baada ya kutembelea mradi wa kongani ya viwanda mkoani Pwani sambamba na bandari kavu ya Kwala iliyojengwa chini ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA). Video na Khatibu Mgeja. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj

NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA

Marekani yaapa kuishambulia tena Iran. Katika Dira ya Dunia TV

#TBC:OUR PORTS - PORT IMPROVEMENTS IN STIMULATE THE ECONOMY

Magazeti ya Leo,12/06/26,BAJETI YA KUJITEGEMEA/KUFUNGA MKANDA,SIMBA YAMTIBULIA BEKI YANGA

AJIRA NJE-NJE KIWANDA KIKUBWA CHA NGUZO ZA ZEGE MANISPAA YA TABORA

LISSU AMBANA WAKILI WA SERIKALI - "MNACHUNGUZA VITU GANI KAMA SIO NJAMA NA UZEMBE?"

WATCH NOW: Inside Tanzania's HOPE CITY - A New Era Begins

KIPINDI RELI MATUKIO-TRENI IKIINGIA BANDARI KAVU KWALA, NA UREJESHAJI WA RELI ILIYOKATIKA MTO UGALA

UZINDUZI WA BANDARI KAVU YA KWALA

WAKILI MADELEKA acharuka AJIPANGA KUKIBURUZA CHUO CHA ARDHI MAHAKAMANI "WEWE UTAKIFUNGA CHUO"

I WILL NEVER BLAME RUTO AGAIN!!!SHOCK PRESIDENT RUTO AFTER SIFUNA PRAISE HIM ON FINANCE BILL 2026

KATIBU MKUU KIONGOZI ATINGA KWALA, ATAJA MIKAKATI YA SERIKALI "NI MJI AMBAO UTAKUWA MKUBWA"

MIRADI YA KUTISHA YA UJENZI, NHC YAFANYA MAPINDUZI MAJENGO/ MIAKA MINNE YA DKT. SAMIA...

DIASPORA : MREJESHO WA SENATE KWA SERIKALI YA TANZANIA ACTION PLAN NZITO, BAADA YA VISA KUWA BURNED

Inside a Rough, Old-School Banana Blossom Processing Factory You’ve Never Seen Before

Most Cheap Street food in Afghanistan | Kabuli pulao, Roasted Chicken, Biryani recipe, Punjabi Curry

UJENZI WA BARABARA YA KAHAMA – BULYANHULU – KAKOLA WALETA MATUMAINI MAPYA YA MAENDELEO SHINYANGA

CHEKECHE | Bunge la Marekani linamuweka njia panda rais Trump?

RADIO NYINGI ZITAFUNGWA | CLOUDS ILIANZISHWA KWA MKOPO WA MILIONI 40 | JOSEPH KUSAGA

