MWILI WA KIMARIO WAAGWA VIWANJA VYA LUGALO DAR
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi aliongoza waombolezaji kuuaga mwili wa marehemu mstaafu Meja Jenerali Muhidin Kimario aliyefariki Oktoba 6 mwaka huu nchini India akipata matibabu. Hafla hiyo imefanyika leo katika viwanja vya kambi ya Jeshi la Wananchi ya Lugalo jijini Dar es Salaam. Marehemu aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini pia. Baada ya kuagwa kwa heshima za kijeshi mwili ulipelekwa katika Msikiti wa Al-Mamur ulioko Upanga, jijini Dar e Salaam kwa ajili ya swala ambapo utasafirishwa kwenda kwao moshi kwa mazishi yatakayofanyika kesho.

▶︎
Rais Magufuli Afika Nyumbani Kwa Kikwete Kutoa pole Kwa Kufiwa

▶︎
Mwanzo Mwisho Historia na Utata wa Mauaji ya IMRAN KOMBE Mkurugenzi wa Zamani wa USALAMA wa TAIFA

▶︎
#EXCLUSIVE: ASKARI SABASITA ALIYEJIJENGEA KABURI afunguka "MUDA SI MREFU NITATOWEKA DUNIANI"

▶︎
ALIYEKUWA MENEJA wa TRA AHUKUMIWA MIAKA 20 JELA BAADA ya KUKUTWA na MENO ya TEMBO ya MILIONI 52..

▶︎
Rais alivyompandisha cheo Kanali Charles Mbuge kuwa Brigedia Jenerali

▶︎
GARI JIPYA LA MABEYO ALILOONDOKA NALO, AKABIDHIWA FUNGUO NA MKUU MPYA WA MAJESHI

▶︎
ITAKULIZA MWILI WA JENERALI MUSUGURI UKIBEBWA KWA HESHIMA ZA KIJESHI MBELE YA MAKAMU WA RAIS....!

▶︎
Mkuu wa zamani wa JWTZ, Jenerali Musuguri kutimiza miaka 100

▶︎
WAZIRI WA ULINZI NA JKT AONGOZA MAAFISA NA ASKARI MAZISHI YA MEJA JENERALI BUSUNGU (MSTAAFU) MWANZA

▶︎
TOP 10: MAMBO KUMI USIYOYAJUA KUMHUSU JAKAYA KIKWETE

▶︎
DARAJA JIPYA JANGWANI: Suluhu ya Kudumu ya Mafuriko | Daraja Jipya Kuinuliwa Mita 8 Juu!

▶︎
MAJONZI MWILI WA MEJA JENERALI MBUGE ULIVYOONDOKA SEGEREA KWA ULINZI MKALI,VILIO VYATAWALA

▶︎
MKUU WA JKT AONGOZA MAZISHI YA MEJA AYUBU PAZI - DAR ES SALAAM

▶︎
Rais Samia alivyopokelewa Ikulu na Rais wa DR Congo Tshisekedi

▶︎
Mwili wa Meja Jenerali Charles Mbuge(Mstaafu) kuagwa kijeshi Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo

▶︎
MAKAMU MPANGO - MSTAAFU KIKWETE WALIVYOTOA HESHIMA KWENYE JENEZA LENYE MWILI wa JENERALI MUSUGURI...

▶︎
Askari wa GSU auawa kwa mshale nje ya Ikulu, mwingine auawe JKIA katika matukio tofauti

▶︎
LIVE IKULU: RAIS MAGUFULI AKITUNUKU KAMISHENI MAAFISA WAPYA WA JWTZ KUNDI LA 65 IKULU JIJINI DSM

▶︎
WAZIRI MKUU WA IVORY COAST AWASILI TANZANIA

▶︎
