MWILI WA KIMARIO WAAGWA VIWANJA VYA LUGALO DAR

WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi aliongoza waombolezaji kuuaga mwili wa marehemu mstaafu Meja Jenerali Muhidin Kimario aliyefariki Oktoba 6 mwaka huu nchini India akipata matibabu. Hafla hiyo imefanyika leo katika viwanja vya kambi ya Jeshi la Wananchi ya Lugalo jijini Dar es Salaam. Marehemu aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini pia. Baada ya kuagwa kwa heshima za kijeshi mwili ulipelekwa katika Msikiti wa Al-Mamur ulioko Upanga, jijini Dar e Salaam kwa ajili ya swala ambapo utasafirishwa kwenda kwao moshi kwa mazishi yatakayofanyika kesho.

Rais Magufuli Afika Nyumbani Kwa Kikwete Kutoa pole Kwa Kufiwa
▶︎

Rais Magufuli Afika Nyumbani Kwa Kikwete Kutoa pole Kwa Kufiwa

Mwanzo Mwisho Historia na Utata wa Mauaji ya IMRAN KOMBE Mkurugenzi wa Zamani wa USALAMA wa TAIFA
▶︎

Mwanzo Mwisho Historia na Utata wa Mauaji ya IMRAN KOMBE Mkurugenzi wa Zamani wa USALAMA wa TAIFA

#EXCLUSIVE: ASKARI SABASITA ALIYEJIJENGEA KABURI afunguka "MUDA SI MREFU NITATOWEKA DUNIANI"
▶︎

#EXCLUSIVE: ASKARI SABASITA ALIYEJIJENGEA KABURI afunguka "MUDA SI MREFU NITATOWEKA DUNIANI"

ALIYEKUWA MENEJA wa TRA AHUKUMIWA MIAKA 20 JELA BAADA ya KUKUTWA na MENO ya TEMBO ya MILIONI 52..
▶︎

ALIYEKUWA MENEJA wa TRA AHUKUMIWA MIAKA 20 JELA BAADA ya KUKUTWA na MENO ya TEMBO ya MILIONI 52..

Rais alivyompandisha cheo Kanali Charles Mbuge kuwa Brigedia Jenerali
▶︎

Rais alivyompandisha cheo Kanali Charles Mbuge kuwa Brigedia Jenerali

GARI JIPYA LA MABEYO ALILOONDOKA NALO, AKABIDHIWA FUNGUO NA MKUU MPYA WA MAJESHI
▶︎

GARI JIPYA LA MABEYO ALILOONDOKA NALO, AKABIDHIWA FUNGUO NA MKUU MPYA WA MAJESHI

ITAKULIZA MWILI WA JENERALI MUSUGURI UKIBEBWA KWA HESHIMA ZA KIJESHI MBELE YA MAKAMU WA RAIS....!
▶︎

ITAKULIZA MWILI WA JENERALI MUSUGURI UKIBEBWA KWA HESHIMA ZA KIJESHI MBELE YA MAKAMU WA RAIS....!

Mkuu wa zamani wa JWTZ, Jenerali Musuguri kutimiza miaka 100
▶︎

Mkuu wa zamani wa JWTZ, Jenerali Musuguri kutimiza miaka 100

WAZIRI WA ULINZI NA JKT AONGOZA MAAFISA NA ASKARI MAZISHI YA MEJA JENERALI BUSUNGU (MSTAAFU) MWANZA
▶︎

WAZIRI WA ULINZI NA JKT AONGOZA MAAFISA NA ASKARI MAZISHI YA MEJA JENERALI BUSUNGU (MSTAAFU) MWANZA

TOP 10: MAMBO KUMI USIYOYAJUA KUMHUSU JAKAYA KIKWETE
▶︎

TOP 10: MAMBO KUMI USIYOYAJUA KUMHUSU JAKAYA KIKWETE

DARAJA JIPYA JANGWANI: Suluhu ya Kudumu ya Mafuriko | Daraja Jipya Kuinuliwa Mita 8 Juu!
▶︎

DARAJA JIPYA JANGWANI: Suluhu ya Kudumu ya Mafuriko | Daraja Jipya Kuinuliwa Mita 8 Juu!

MAJONZI MWILI WA MEJA JENERALI MBUGE ULIVYOONDOKA SEGEREA KWA ULINZI MKALI,VILIO VYATAWALA
▶︎

MAJONZI MWILI WA MEJA JENERALI MBUGE ULIVYOONDOKA SEGEREA KWA ULINZI MKALI,VILIO VYATAWALA

MKUU WA JKT AONGOZA MAZISHI YA MEJA AYUBU PAZI - DAR ES SALAAM
▶︎

MKUU WA JKT AONGOZA MAZISHI YA MEJA AYUBU PAZI - DAR ES SALAAM

Rais Samia alivyopokelewa Ikulu na Rais wa DR Congo Tshisekedi
▶︎

Rais Samia alivyopokelewa Ikulu na Rais wa DR Congo Tshisekedi

Mwili wa Meja Jenerali Charles Mbuge(Mstaafu) kuagwa kijeshi  Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo
▶︎

Mwili wa Meja Jenerali Charles Mbuge(Mstaafu) kuagwa kijeshi Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo

MAKAMU MPANGO - MSTAAFU KIKWETE WALIVYOTOA HESHIMA KWENYE JENEZA LENYE MWILI wa JENERALI MUSUGURI...
▶︎

MAKAMU MPANGO - MSTAAFU KIKWETE WALIVYOTOA HESHIMA KWENYE JENEZA LENYE MWILI wa JENERALI MUSUGURI...

Askari wa GSU auawa kwa mshale nje ya Ikulu, mwingine auawe JKIA katika matukio tofauti
▶︎

Askari wa GSU auawa kwa mshale nje ya Ikulu, mwingine auawe JKIA katika matukio tofauti

LIVE IKULU: RAIS MAGUFULI AKITUNUKU KAMISHENI MAAFISA WAPYA WA JWTZ KUNDI LA 65  IKULU JIJINI DSM
▶︎

LIVE IKULU: RAIS MAGUFULI AKITUNUKU KAMISHENI MAAFISA WAPYA WA JWTZ KUNDI LA 65 IKULU JIJINI DSM

WAZIRI MKUU WA IVORY COAST AWASILI TANZANIA
▶︎

WAZIRI MKUU WA IVORY COAST AWASILI TANZANIA

VIDEO: KWA HUZUNI RAIS HUSSEIN MWINYI ALIVYOWASILI NYUMBANI KWA BABA YAKE MIKOCHENI DSM
▶︎

VIDEO: KWA HUZUNI RAIS HUSSEIN MWINYI ALIVYOWASILI NYUMBANI KWA BABA YAKE MIKOCHENI DSM