MATOKEO YA UCHAGUZI BUCHOSA NA SENGEREMA / SHIGONGO APENYA. BUCHOSA TABASAMU KICHEKO SENGEREMA.

SHIGONGO APENYA. BUCHOSA TABASAMU KICHEKO SENGEREMA. Baada ya wajumbe wa chama cha mapinduzi (ccm) kupiga kura za maoni kuchagua viogozi ambao watakwenda kupitishwa na kamati kuu ya chama hicho kupeperusha bendera ya chama hicho kwa nafasi ya Mbunge na Diwani. Jimbo la Sengerema mkoa wa Mwanza,mgombea. Hamissi Tabasamu ameibuka kidedea kwa kura 10.718. huku anaye mfatia ni Wiliamu Ngeleja ambaye amepata kura 1.477. Jimbo la Buchosa Halimashauri ya Buchosa mkoa wa Mwanza aliye kuwa Mbunge wa jimbo hilo. Eric Shigongo ame penya tena katika kura za maoni ccm kwa kupata kura .6,450 anaye mfatia ni Charles Tizeba.amepata kura 4,562. akitangaza matokeo hayo katibu wa chama cha mapindizi ccm wilaya Sengerema Rashidy Semindu Pawa .amesema uchanguzi katika majimbo hayo umeenda kwa amani na wajumbe wamechagua watu wa naowataka wataka wao.

MBUNGE HAMIS TABASAM AVAMIA SOKONI, AKUTA MADUDU, WAFANYABIASHARA WALIA KILA KONA...
▶︎

MBUNGE HAMIS TABASAM AVAMIA SOKONI, AKUTA MADUDU, WAFANYABIASHARA WALIA KILA KONA...

MKE WA SHIGONGO AKIMUOMBEA KURA MUME WAKE "ERICK NI BABA MZURI, ATALETA MABADILIKO"
▶︎

MKE WA SHIGONGO AKIMUOMBEA KURA MUME WAKE "ERICK NI BABA MZURI, ATALETA MABADILIKO"

ERIC SHIGONGO ADAI KUCHEZEWA RAFU NA BAADHI YA VIONGOZI KUELEKEA KURA ZA MAONI
▶︎

ERIC SHIGONGO ADAI KUCHEZEWA RAFU NA BAADHI YA VIONGOZI KUELEKEA KURA ZA MAONI

Tazama Tabasamu awapa miezi sita watumishi wazembe waanze kuondoka jimbo la Sengerema
▶︎

Tazama Tabasamu awapa miezi sita watumishi wazembe waanze kuondoka jimbo la Sengerema

"WAJANJA WAPO TAMISEMI KAZI YAO NI KUIBA PESA USIKU" - MBUNGE TABASAMU AKIWASHA BUNGENI
▶︎

"WAJANJA WAPO TAMISEMI KAZI YAO NI KUIBA PESA USIKU" - MBUNGE TABASAMU AKIWASHA BUNGENI

MAIGE ATAJA SABABU ZA KULITAKA TENA JIMBO LA MSALALA
▶︎

MAIGE ATAJA SABABU ZA KULITAKA TENA JIMBO LA MSALALA

BREAKING: Rais Magufuli akiongea na Wananchi Sengerema
▶︎

BREAKING: Rais Magufuli akiongea na Wananchi Sengerema

HADI RAHA! SHIGONGO Alivyomtambulisha MKE WAKE kwa WANANCHI wa BUCHOSA...
▶︎

HADI RAHA! SHIGONGO Alivyomtambulisha MKE WAKE kwa WANANCHI wa BUCHOSA...

VIDEO: MAPOKEZI YA TABASAMU SENGEREMA, AMECHUKUA FOMU YA UBUNGE "MIMI NI MWANAZENGO TU"
▶︎

VIDEO: MAPOKEZI YA TABASAMU SENGEREMA, AMECHUKUA FOMU YA UBUNGE "MIMI NI MWANAZENGO TU"

VITA YA UBUNGE BUCHOSA YAPAMBA MOTO, ANAYELITAKA JIMBO LA SHIGONGO AFUNGUKA MANENO MAZITO
▶︎

VITA YA UBUNGE BUCHOSA YAPAMBA MOTO, ANAYELITAKA JIMBO LA SHIGONGO AFUNGUKA MANENO MAZITO

Gwajima: Askofu mwenye utata anayepaza sauti dhidi ya utekaji Tanzania
▶︎

Gwajima: Askofu mwenye utata anayepaza sauti dhidi ya utekaji Tanzania

"MNAISHI NA DHAHABU"– MKAZI WA SENGEREMA AWAAMSHA BUCHOSA - ERIC SHIGONGO NI HAZINA
▶︎

"MNAISHI NA DHAHABU"– MKAZI WA SENGEREMA AWAAMSHA BUCHOSA - ERIC SHIGONGO NI HAZINA

TAZAMA MADIWANI wa BUCHOSA Walivyokula KIAPO Mbele ya MBUNGE Wao SHIGONGO...
▶︎

TAZAMA MADIWANI wa BUCHOSA Walivyokula KIAPO Mbele ya MBUNGE Wao SHIGONGO...

MATOKEO YA URAIS TANZANIA 2020 MKOA WA MWANZA JIMBO LA SENGEREMA
▶︎

MATOKEO YA URAIS TANZANIA 2020 MKOA WA MWANZA JIMBO LA SENGEREMA

MWENYEKITI CCM AMPONGEZA SHIGONGO, AWACHARUKIA WANAOJIPENYEZA KUTAKA UBUNGE SENGEREMA NA BUCHOSA...
▶︎

MWENYEKITI CCM AMPONGEZA SHIGONGO, AWACHARUKIA WANAOJIPENYEZA KUTAKA UBUNGE SENGEREMA NA BUCHOSA...

Askofu Kassala Aongoza Maelfu Jubilei Miaka 125 ya Imani Geita Kisiwani KOME.
▶︎

Askofu Kassala Aongoza Maelfu Jubilei Miaka 125 ya Imani Geita Kisiwani KOME.

NITAMJERUHI MTU HAPA!..MBUNGE TABASAMU AMWAGA MACHOZI HADHARANI
▶︎

NITAMJERUHI MTU HAPA!..MBUNGE TABASAMU AMWAGA MACHOZI HADHARANI

U.S.  and Iran signal a peace deal is close
▶︎

U.S. and Iran signal a peace deal is close

RAIS SAMIA AZIDI Kufanya MAAJABU Buchosa, MBUNGE SHIGONGO Ashindwa KUJIZUIA, Afunguka HADHARANI..
▶︎

RAIS SAMIA AZIDI Kufanya MAAJABU Buchosa, MBUNGE SHIGONGO Ashindwa KUJIZUIA, Afunguka HADHARANI..

KATIBU WA CCM KAHAMA AMTANGAZA NGAYIWA KUONGOZA KURA ZA MAONI
▶︎

KATIBU WA CCM KAHAMA AMTANGAZA NGAYIWA KUONGOZA KURA ZA MAONI