Mh. Joseph Mbilinyi: tumewashauri CCM hawasikii

Akichangia kwenye Bunge la May 2015, Mh. Mbilinyi amesema "tumewashauri CCM kwa numbers na facts, lakini wananisha, ikwapi kura ya maoni, yakwapi mafao ya wazee?. Alihoji Bungeni.