Elimu ya Usalama,Mazingira na Uokozi (Uzi Kisiwani) 1

Muendelezo wa kuwapatia elimu ya Usalama,mazingira na uokozi ambapo leo watendaji wa Mamlaka ya Usafiri Baharini Zanzibar kwa mashirikiano na Maafisa wa Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo KMKM kwa pamoja walitoa elimu hiyo kwa Wananchi wanaojishughulisha na shughuli za uvuvi katika maeneo ya Kisiwa cha Uzi,Zanzibar.