URUBANI SI NDOTO TENA! SERIKALI YATENGA SH BIL 57
DAR ES SALAAM: SERIKALI imewekeza jumla ya Sh bilioni 57 kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Umahiri cha Mafunzo ya Anga katika Chuo cha Usafirishaji cha Taifa (NIT) kilichopo Mabibo jijini Dar es Salaam, hatua inayolenga kukuza rasilimali watu na kuimarisha sekta ya usafiri wa anga nchini. Akizungumza wakati wa ziara ya kukagua jengo na vifaa vya kituo hicho, Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amesema mradi huo umekamilika na upo tayari kuanza kutoa huduma. Profesa Mbarawa amesema kuanza kwa kituo hicho kutapunguza kwa kiasi kikubwa gharama za mafunzo kwa wanafunzi waliokuwa wakilazimika kusoma nje ya nchi, huku kikitoa mafunzo kwa kutumia vifaa vya kisasa na wataalamu wenye ujuzi wa hali ya juu. Ameeleza kuwa uwekezaji huo ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuhakikisha Tanzania inakuwa na wataalamu wa kutosha katika sekta ya anga na usafirishaji kwa ujumla. Kwa upande wake, Mkuu wa Chuo cha NIT Mhandisi Prosper Mgaya amesema kwa sasa chuo kinatoa mafunzo katika fani kuu tatu za anga kwa kutumia teknolojia ya kisasa inayokidhi viwango vya kimataifa. Naye Mwenyekiti wa Bodi ya NIT Profesa Ulingeta Bamba amesisitiza kuwa elimu inayotolewa chuoni hapo inatambulika kimataifa, hivyo amewahimiza vijana kutumia fursa hiyo kujenga mustakabali wao na kuchangia maendeleo ya Taifa. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: / spotileo-176. . HabariLeo: / habarileo DailyNews: / dailynewstz INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

RAIS WA SINGAPORE AWASILI

Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa

Umujyi wa Kigali ugaragaje impamvu zituma agakiriro ka Gisozi gakwiye kwimurwa

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

RADIO NYINGI ZITAFUNGWA | CLOUDS ILIANZISHWA KWA MKOPO WA MILIONI 40 | JOSEPH KUSAGA

Pakistani Truck Parts Repair with a Master Mechanic Amazing Restoration

Kenya Has Started Rebuilding JKIA — But Is It Already Too Late?

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

DAR ES SALAAM TANZANIA Airport is on Another level ,I got shocked as a Nigerian

Ethiopian Airlines B787-8 | London LGW - Addis Ababa | Trip Report

MAHOJIANO MAALUMU: TANZANIA YAELEZA MSIMAMO WAKE KUHUSU ICC

Uganda minister shocks Ruto during National Prayer Breakfast narrating Obote-Museveni Millitary coup

Exploring Dar es Salaam The Largest City in East Africa and Economic Powerhouse

DENIS MPAGAZE: Mfahamu EMILIO MWAI KIBAKI / Bingwa Wa Siasa Aliyeingia IKULU Kwa Vyama Tofauti

GHANA WARNS CITIZENS: DON'T GO TO SOUTH AFRICA NOW! | South Africa Vex And Dr. Makhubela Fires Back

China Is Building East Africa's Largest Port in Tanzania

China's Xi Jinping makes rare visit to North Korea

2027: Why I Won’t Support Tinubu Or Atiku | Babachir Lawal On Obi, Kwankwaso & The Opposition

BODA BODA KIGOMA WAICHOMA MOTO GARI BAADA YA KUMGONGA MWENZAO.

