RC MRINDOKO AAGIZA WAFANYABIASHARA KATAVI KUTOPANDISHA BEI WAKATI WA MFUNGO WA KWARESMA NA RAMADHANI

Wakati waumini wa dini za Kikristo na Kiislamu wakiingia katika kipindi cha mfungo wa Kwaresma na Ramadhani, Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko, amewataka wafanyabiashara kuhakikisha hawapandishi bei za bidhaa, akisisitiza kuwa mkoa wa Katavi una chakula cha kutosha na bidhaa zinapatikana kwa urahisi. Akizungumza leo, Februari 19, 2025 wakati wa mkutano wake na wafanyabiashara wa Soko Kuu la Manispaa ya Mpanda, RC Mrindoko amesema lengo la kufika sokoni hapo ni kusikiliza kero na changamoto wanazopitia wafanyabiashara pamoja na kufuatilia mwenendo wa bei za bidhaa baada ya kuanza kwa mfungo wa Kwaresma na Ramadhani. “Nasisitiza wafanyabiashara muendelee na bei zilezile za awali. Mkoa wa Katavi hauna njaa, chakula kipo cha kutosha na hakuna sababu ya kupandisha bei,” amesema RC Mrindoko. Akiongeza kuwa Serikali haitavumilia upandishaji holela wa bei, huku akiwataka wananchi kutoa taarifa mara moja endapo watakutana na ongezeko la ghafla la bei sokoni. “Mteja akiona bei imepanda bila sababu, atoe taarifa mara moja kwa mamlaka husika ili hatua zichukuliwe,” amesisitiza. Katika hatua nyingine, Mkuu wa Mkoa amemuelekeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda kuhakikisha kuwa ifikapo Machi 19, 2026, soko hilo linakuwa limefanyiwa ukarabati, akieleza kuwa msimu wa mvua umebainisha changamoto ya mapaa yanayovuja na kuathiri shughuli za biashara. RC Mrindoko ametumia fursa hiyo kuwatakia waumini wote wa dini za Kikristo na Kiislamu mfungo mwema wa Kwaresma na Ramadhani, akiwataka kuendelea kudumisha amani, mshikamano na upendo katika kipindi chote cha ibada.

RC MRINDOKO AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA SHULE YA MCHEPUO WA KIINGEREZA TANGANYIKA DC.
▶︎

RC MRINDOKO AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA SHULE YA MCHEPUO WA KIINGEREZA TANGANYIKA DC.

RC MRINDOKO ATANGANA OPERESHENI YA SAA 72 USAFI WA MAZINGIRA KATAVI.
▶︎

RC MRINDOKO ATANGANA OPERESHENI YA SAA 72 USAFI WA MAZINGIRA KATAVI.

KATAVI: MAMIA YA WAUMINI WAFURIKA KUSWALI SWALA YA EID EL-FITRI LICHA YA MVUA KUNYESHA  ☪☪☪
▶︎

KATAVI: MAMIA YA WAUMINI WAFURIKA KUSWALI SWALA YA EID EL-FITRI LICHA YA MVUA KUNYESHA ☪☪☪

WAZIRI MAVUNDE ASITISHA SHUGHULI ZA UCHIMBAJI WA MADINI BAADHI YA MACHIMBO KATAVI
▶︎

WAZIRI MAVUNDE ASITISHA SHUGHULI ZA UCHIMBAJI WA MADINI BAADHI YA MACHIMBO KATAVI

RC MRINDOKO ASIFU TANGANYIKA DC KUANDAA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE, AONYA WAVAMIZI WA ARDHI
▶︎

RC MRINDOKO ASIFU TANGANYIKA DC KUANDAA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE, AONYA WAVAMIZI WA ARDHI

KATAVI BOYS YAANZA VIZURI UTEKELEZAJI MPANGO WA LISHE BORA KWA KILA MWANAFUNZI SHULENI
▶︎

KATAVI BOYS YAANZA VIZURI UTEKELEZAJI MPANGO WA LISHE BORA KWA KILA MWANAFUNZI SHULENI

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds
▶︎

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

WAZIRI MKUU AAGIZA MKANDARASI KUFANYA KAZI USIKU NA MCHANA KUKAMILISHA JENGO LA MAMA NA MTOTO KATAVI
▶︎

WAZIRI MKUU AAGIZA MKANDARASI KUFANYA KAZI USIKU NA MCHANA KUKAMILISHA JENGO LA MAMA NA MTOTO KATAVI

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu
▶︎

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.
▶︎

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.

Meet The 'Twins' Born With Different Dads! | This Morning
▶︎

Meet The 'Twins' Born With Different Dads! | This Morning

SERIKALI YATOA MAEKELEZO KWA WANANCHI WA WESTERN—LUHAFWE| HUDUMA ZENYE UTU KUWEZESHWA
▶︎

SERIKALI YATOA MAEKELEZO KWA WANANCHI WA WESTERN—LUHAFWE| HUDUMA ZENYE UTU KUWEZESHWA

SERIKALI MBIONI KUZINDUA KAMPUNI YA MFUKO WA DHAMANA KWA WACHIMBAJI WADOGO
▶︎

SERIKALI MBIONI KUZINDUA KAMPUNI YA MFUKO WA DHAMANA KWA WACHIMBAJI WADOGO

RC MRINDOKO ASISITIZA UWAJIBIKAJI NA HUDUMA BORA KWA WANANCHI H/W YA NSIMBO
▶︎

RC MRINDOKO ASISITIZA UWAJIBIKAJI NA HUDUMA BORA KWA WANANCHI H/W YA NSIMBO

Surah Al-Kahf (سورة الكهف) | Spiritual Peace & Divine Protection Every Friday | Peace Holy Quran
▶︎

Surah Al-Kahf (سورة الكهف) | Spiritual Peace & Divine Protection Every Friday | Peace Holy Quran

WALIMU WAKUU WA SHULE 35 WAPIGWA MSASA KUANDAA MPANGO KAZI WA LISHE MKOA
▶︎

WALIMU WAKUU WA SHULE 35 WAPIGWA MSASA KUANDAA MPANGO KAZI WA LISHE MKOA

RC MRINDOKO AZINDUA RASMI MRADI WA USAMBAZAJI WA MAJIKO BANIFU MKOANI KATAVI
▶︎

RC MRINDOKO AZINDUA RASMI MRADI WA USAMBAZAJI WA MAJIKO BANIFU MKOANI KATAVI

WAZIRI DKT. HOMERA ASISITIZA HUDUMA ZA KISHERIA NA UWAJIBIKAJI, VIONGOZI MKOA WA KATAVI WAPONGEZWA
▶︎

WAZIRI DKT. HOMERA ASISITIZA HUDUMA ZA KISHERIA NA UWAJIBIKAJI, VIONGOZI MKOA WA KATAVI WAPONGEZWA

Wafuasi wa ODM Kwale Wapinga Ukaribu wa Kisiasa Kati ya Waziri Joho na Gavana Achani
▶︎

Wafuasi wa ODM Kwale Wapinga Ukaribu wa Kisiasa Kati ya Waziri Joho na Gavana Achani

A Side of Jamaica The Media Won't Show You!
▶︎

A Side of Jamaica The Media Won't Show You!