MAGARI YA SHULE YENYE TINTED HAYARUHUSIWI KUBEBA WANAFUNZI | DTO MISUNGWI AFUNGUKA HAYA.
MWANZA: KATIKA mwendelezo wa ukaguzi wa magari ya shule hususan katika kipindi hiki cha likizo, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limeendelea na zoezi la ukaguzi likiwa na lengo la kuboresha huduma ya usafiri na kuimarisha usalama wa wanafunzi. Akizungumza na madereva pamoja na walezi wa wanafunzi wakiwemo ma-patron na ma-matron, Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Wilaya ya Misungwi, ASP Maris Isomba, amesema kuwa lengo kuu la ukaguzi huo ni kuhakikisha watoto wanakuwa salama wanapokwenda na kurudi kutoka shuleni. Aidha, ASP Isomba amekemea tabia ya baadhi ya wamiliki wa magari ya shule kuweka vioo vya giza (tinted) akisema kuwa kitendo hicho ni kinyume cha sheria kwa magari ya usafiri wa umma na yanayobeba wanafunzi kwani kinaweza kuchochea vitendo vya ukatili dhidi ya watoto. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: / spotileo-176. . HabariLeo: / habarileo DailyNews: / dailynewstz INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

CHALAMILA AMALIZA MGOGORO WA NYUMBA DAR, ATOA MAAGIZO HAYA

EXCLUSIVE: MZEE YUSSUF CONSIDERS QUITTING LOVE SONGS, OPENS UP ABOUT LEAVING TAARAB

Hizi ndizo sifa za SAUT/ VC Balozi Prof. Mahalu aeleza kwa nini ujiunge na SAUT mwaka mpya wa masomo

THE HOUSEMAIDS AUDITION | MR MACARONI | MUMMY WA | PRETTY PLAY | TRINITY UGONABO | SOPHIE

TAARIFA YA MSEMAJI MKUU WA SERIKALI KUTOKEA MJI WA SERIKALI MTUMBA

#TBC: UJENZI WA DARAJA LA JP MAGUFULI ULIPOFIKIA

I Visited the African Country You've Never Heard Of 🇸🇹 (São Tomé & Príncipe)

Msimamo wa Chuo cha SAUT Mwanza kuhusu Binti alievishwa pete na Mwanamke mwenzake

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

Pencoo De Ce Vedredi 30 Janvier 2026 Invité Khadim Bamba Fall Pastef / Sana Mbaye Sen Apr Sur WalfTv

UJENZI DARAJA LA JP MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI) KUKAMILIKA DESEMBA 30, MWAKA HUU

VIONGOZI WAKUMBUSHWA KUTIMIZA WAJIBU WAO | MBUNGE APONGEZA POLISI

LIVE: Maadhimisho ya miaka 40 Chuo cha Maendeleo ya Jamii Ufundi Misungwi, Mwanza

ZFDA YATEKETEZA TANI 82 ZA BIDHAA ZISIZOFAA KWA MATUMIZI YA BINADAMU

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

Standard Media responds to President Ruto's blackmail claims

🔴#Live: RAIS SAMIA AKIKAGUA DARAJA LA MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI) MKOANI MWANZA...

| MONDAY REPORT | ARE ABDUCTIONS BACK?

MISUNGWI: Mkuu wa shule mbaroni kwa kumtongoza mwanafunzi

