Jumapili ya Kukombolewa II 7/06/2026

Jumapili ya Kukombolewa – Tarehe 7 Juni 2026 Kanisa la Healing & Deliverance International Church linapenda kukukaribisha wewe na familia yako kwenye ibada kubwa ya uponyaji wa magonjwa ya kansa, tumbo, kichwa na changamoto mbalimbali.Askofu Dkt. Zakayo Mkemwa atakuwa mubashara akihudumu kuanzia saa 3:00 asubuhi. Ibada hii haina ubaguzi wa kidini, na huduma ya maombezi ni bure kwa wote.Kama uko mbali, ungana nasi kupitia mtandao huu wa YouTube. Bonyeza Like, Subscribe, na Shiriki (Share) link ya ibada hii ili kuwa baraka kwa mtu mwingine leo. Kwa maelezo zaidi, piga simu namba 0796 070 244.