JIKE BORA NI KIWANDA CHA MFUGAJI WA NGURUWE.

Dr Baguma akitoa ufafanuzi wa kina juu ya ufugaji wa nguruwe Anaelezea juu ya mbegu mpya ya majike aina ya SERENIS na faida za kumfuga jike huyo. Pia anatoa ushauri kwa wafugaji wote kuwekeza zaidi kwenye uchaguzi wa majike bora kwani faida ya mfugaji ipo kwenye watoto. Ameeleza pia juu ya Lishe bora ambayo ni Mr Pig Concentrates ,chakula kinacholeta matokeo makubwa kwa muda mfupi na kwa gharama nafuu. Endelea kufatilia masomo mbalimbali kupitia channel hii ya PAN GRO TANZANIA Usisahau KUSUBSCRIBE,KULIKE,KUSHARE NA KUACHA KOMENT HAPO CHINI MAWASILIANO. PAN GRO TANZANIA MR PIG TANZANIA 0678898874 TRUST OUR FEEDS,TRUST YOUR PIGS.