Na Kushukuru Eee Bwana - Chorale Lavigerie Bukavu

Na Kushukuru Eee Bwana - Chorale Lavigerie Bukavu Paroles * R) Nakushukuru ee Bwana Kwa mema yote unayo nitendeya katika maisha yangu. (2X) 1. Tangu utoto wangu Ume nipenda sana Uka nipa uzima Tena uka nilinda. Shukurani kwako ee bwana Mungu wangu 2. Bwana ni mwanga wangu Tena mchungaji wangu Hata napata magumu Sita ogopa kitu. Shukurani kwako ee bwana Mungu wangu 3. Ume tuondolea kwa kifo cha mwokozi Aka kufa msalabani Kwa ajili ya watu. Shukurani kwako ee bwana Mungu wangu