KUKU FARM. YAJUE MAAJABU YA CHUMVI KWA KUKU WAKO @COREKUKUFARM
Kuna changamoto kubwa sana anbayo huwa inawasumbua kuku mwisho wa siku huweza kusababisha wafugaji kushindwa kuelewa magonjwa yanayotokea kwa kuku wanaowafuga. Kama wewe ni mmoja wa wafugaji wanaosumbuliwa na magonjwa kwenye ufugaji basi ondoa shaka, kwani kuna magonjwa unaweza kuyatatua kwa kutumia vipimo sahihi wakati wa kuchanga chumvi kwani ni moja ya kuku kupatwa na shida usipoitumia vizuri TIME TAKE AWAY 00:00… Utangulizi 01:12… Madhara ya chumvi kwa kuku 03:40… Dalili za kutokutumia chumvi vizuri kwa kuku 04:09… Kutokutamani kuka chakula 04:50… Mdomo wazi kila wakati 05:15… Kutokwa na machozi 05:57… Vifo vya ghafla 06:33… Uthibiti wa hii changamoto 06:53… Wapatie kuku maji ya kutosha 07:26… Changanya chakula kwa usahihj 07:58… Hitimisho My name: Lembo kija WhatsApp: 0656371244 Gmail: [email protected]
