NAJUA U NAMI BY INZAMBA GROUP TZ

Bwana ndiye mchungaji wangu, sitaogopa kitu. Katika majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza. Katika kila njia mbaya na njema nipitayo najua yupo pamoja na mimi na hakika sitaogopa. Adui wajipangapo kupigana nami yeye atapigana kwa ajili yangu.