MKE WA MGOMBEA UDIWANI KATA YA KAMACHUMU AZUNGUMZA BAADA YA MKUTANO KUMALIZIKA..

Mke wa diwani Mh Peter Chonde akieleza ni jinsi gani mgombea udiwani kata ya kamachumu ambvyo ni mchapakazi na mtumishi mzuri wananchi wa kata ya Kamachumu kama walivyo mwamini ndani ya kipidi cha miaka mitano sasa wampatie na mingine mitano aendelee kuwatumikia. Host Robson Jacob Cradis Credit KIPILI EXTRA +255760290695