UKHTY FATMA MDIDI AKIZUNGUMZA NA WANAWAKE WA KIISLAM JUU YA KUIGA MFANO WA BI KHADIJA (R.A)

“Kiigizo chetu chema kwenye biashara ni Bi Khadija (RA) - Kipenzi cha Mtume wetu Muhammad (SAW) basi tufuate kweli yale aliyokua akiyafanya. Hakuacha kuwa mwanamke mwenye stara, mwanamke bora kwa mume wake na muumin mzuri wa dini ya kiislam” Ukhty Fatma Mdidi 🎥 @kalamutz #ladiesinislamevent2024 #ladiesinislamawards #wanawakewakiislamnabiashara @viwandabiashara