AKATWE MILIONI MBILI KILA SIKU ASITUCHEZEE- RC MHITA

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Mboni Mhita @mboni_mhita ameonyesha kutoridhishwa na kasi ya ujenzi wa barabara za ndani katika Manispaa ya Kahama na kuagiza hatua kali zichukuliwe dhidi ya mkandarasi anayetekeleza mradi huo, Kampuni ya Sichuan Road and Bridge Group (SRBG). Akiwa kwenye ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi huo unaotekelezwa kupitia Mradi wa TACTIC iliyofanyika Septemba 30,2025 RC Mhita amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Kahama Masoud Kibetu kuandika barua rasmi kwa mkandarasi huyo, ikiambatana na adhabu ya kukatwa milioni 2 kwa kila siku kuanzia Oktoba 1, 2025, baada ya mkataba wake kufikia ukomo tarehe 30 Septemba 2025, bila kazi kukamilika. “Mkandarasi huyu amelipwa zaidi ya shilingi bilioni 5, lakini kasi ya utekelezaji ni ya kusuasua licha ya kuongezewa muda mara mbili. Serikali haina tena sababu ya kumuongezea mkataba,” alisema Mhita kwa msisitizo. Amesema Serikali ya Mkoa haitavumilia kuona fedha za umma zinatumika bila matokeo halisi, akisisitiza kuwa kila mkandarasi anapaswa kuzingatia muda wa utekelezaji na thamani ya fedha inayotolewa kwa miradi ya maendeleo. Katika maagizo yake, Mhita amesisitiza kuwa adhabu hiyo ya kisheria inalenga kulinda maslahi ya wananchi ambao wanasubiri huduma bora za miundombinu na kuonya kuwa hatua zaidi za kisheria zitachukuliwa endapo mkandarasi atashindwa kumaliza kazi hiyo kwa haraka. Ziara hiyo imekuwa sehemu ya msukumo wa kuhakikisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo unakwenda kwa kasi inayostahili, huku RC Mhita akisisitiza uwajibikaji kwa watendaji wote na wadau wa ujenzi katika Mkoa wa Shinyanga Nao baadhi ya wananchi waliokuwepo kwenye mradi huo walimpongeza RC Mhita kwa hatua alizochukua na kumuomba kumsimamia kwa ukaribu mkandarasi huyo katika kipindi ambacho Mvua zinatarajia kunyesha ili wasipate madhara yakiwemo mafuriko kutokana na kutokamilika kwa miundombinu katika manispaa ya Kahama.

KALENJINS take U-TURN Ruto STRANDED as LEAKED Turkana VIDEO goes VIRAL Orengo QUICKLY react KWISHA!
▶︎

KALENJINS take U-TURN Ruto STRANDED as LEAKED Turkana VIDEO goes VIRAL Orengo QUICKLY react KWISHA!

Belgien – Iran Highlights | Gruppe G, FIFA WM 2026 | sportstudio
▶︎

Belgien – Iran Highlights | Gruppe G, FIFA WM 2026 | sportstudio

Delivering The Plan: Voi - Taita Taveta Railway Line Coming Back to Life
▶︎

Delivering The Plan: Voi - Taita Taveta Railway Line Coming Back to Life

RC SENDIGA AKITEMA CHECHE; SICHEKI NA WOWOTE, TUNAFUNGA WANAOTIA MIMBA WANAFUNZI
▶︎

RC SENDIGA AKITEMA CHECHE; SICHEKI NA WOWOTE, TUNAFUNGA WANAOTIA MIMBA WANAFUNZI

RESTORING THE ORDER 2026 - DAY-6 #dunsinoyekan #worship #intimacy
▶︎

RESTORING THE ORDER 2026 - DAY-6 #dunsinoyekan #worship #intimacy

Show Me The 300 Jobs You Created After 300 Ghanaians Left! | Julius Malema
▶︎

Show Me The 300 Jobs You Created After 300 Ghanaians Left! | Julius Malema

SIRI NZITO ANACHOKIFANYA DP WORLD KWENYE BANDARI YA DAR ES SALAAM, MABILIONI YAOKOLEWA
▶︎

SIRI NZITO ANACHOKIFANYA DP WORLD KWENYE BANDARI YA DAR ES SALAAM, MABILIONI YAOKOLEWA

Ruto heart attack as New DCP SG John Methu holds Mega Rally in Ol Kalou to sell DCP Candidate!🔥
▶︎

Ruto heart attack as New DCP SG John Methu holds Mega Rally in Ol Kalou to sell DCP Candidate!🔥

The Most INSANE Airport in the World
▶︎

The Most INSANE Airport in the World

GACHAGUA'S WAMUNYORO WAR ROOM: Ruto & Kalenjin Mafia in Injury Time, Stealing Before It Is Too Late
▶︎

GACHAGUA'S WAMUNYORO WAR ROOM: Ruto & Kalenjin Mafia in Injury Time, Stealing Before It Is Too Late

Magufuli ahutubia Kahama kampeni CCM
▶︎

Magufuli ahutubia Kahama kampeni CCM

SHOCKING! Gachagua's Wamunyoro Home Overflows as Massive Crowds Defy His 45-Day Retreat| Lee Makwiny
▶︎

SHOCKING! Gachagua's Wamunyoro Home Overflows as Massive Crowds Defy His 45-Day Retreat| Lee Makwiny

Anchor Media ''የአሜሪካው የቪዛ ማዕቀብ ትብብሩን ያፋጥነዋል'' ፕ/ር መሀመድ ሀሰን
▶︎

Anchor Media ''የአሜሪካው የቪዛ ማዕቀብ ትብብሩን ያፋጥነዋል'' ፕ/ር መሀመድ ሀሰን

GUMZO!! MBUNGE HUYU MZANZIBARI ATOA ONYO LA KUUWAWA KWA WANAOZUNGUMZIA MUUNGANO NA KUZUA TAHARUKI
▶︎

GUMZO!! MBUNGE HUYU MZANZIBARI ATOA ONYO LA KUUWAWA KWA WANAOZUNGUMZIA MUUNGANO NA KUZUA TAHARUKI

RC MRINDOKO ASHIRIKI NGUVU KAZI JUENZI WA SHULE MPYA
▶︎

RC MRINDOKO ASHIRIKI NGUVU KAZI JUENZI WA SHULE MPYA

Ethiopia is About to Explode.
▶︎

Ethiopia is About to Explode.

DEREVA AKAMATWA NA WASOMALI / WAITHOPIA 37 - ZAMBIA MPIKA
▶︎

DEREVA AKAMATWA NA WASOMALI / WAITHOPIA 37 - ZAMBIA MPIKA

BMG TV: Uzuri wa Tanzania (S02-E15) Kahama inakimbia kimaendeleo
▶︎

BMG TV: Uzuri wa Tanzania (S02-E15) Kahama inakimbia kimaendeleo

🇪🇹Top 30 Massive Projects Transforming Ethiopia
▶︎

🇪🇹Top 30 Massive Projects Transforming Ethiopia

HECHE ALIVYOISIMAMISHA KAHAMA NI MAFURIKO YA WATU KAMPENI YA NO REFOM NO ELECTIN,SIKIA NONDO
▶︎

HECHE ALIVYOISIMAMISHA KAHAMA NI MAFURIKO YA WATU KAMPENI YA NO REFOM NO ELECTIN,SIKIA NONDO