MUNGU KIMBILIO

Wimbo huu unatuimiza wakristo, ukinukuu kitabu cha Zaburi 46:1-2 "Mungu kwetu ni kimbilio na nguvu, msaada uliopo wakati wa mateso. Kwa hiyo, hatutaogopa, ijapokuwa dunia itabadilika, na milima itatikisika katikati ya bahari."