NG’OMBE 200 WAKAMATWA, WALA MBEGU za UTAFITI TARI, ZINA THAMANI ya ZAIDI ya MILIONI 600....
NG’OMBE 200 WAKAMATWA, WALA MBEGU za UTAFITI TARI, ZINA THAMANI ya ZAIDI ya MILIONI 600.... Kituo cha utafiti wa kilimo cha TARI -ILONGA kilichopo Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro kimekamata zaidi ya ng’ombe mia mbili waliongizwa na wafugaji jamii ya kimasai katika vipando vya utafiti na kupelekea uharibifu katika mashamba hayo kaimu mkurugenzi TARI Ilonga Emanuel Shilagali amesema hi ni Mara ya tatu kufanyika kwa uharibu huo na kwamba kwa kipindi Cha miezi mwili wafugaji hao jamii ya kimasai waliingiza ng’ombe zao katika mifugo mazao ya utafiti Bado hasara kamili iliyotokana na uharibifu huo haijafamika lakini kwa Shamba la mahindi pekee gharama za awali zilizotokana na uzalishaji wa awali Ni zaidi ya milioni Mia sita themanini zimetumika. Wito kwa jamii za kifugaji kuachana na tabia ya kulisha ng’ombe zao katika mashamba ya serikal hii ni kutokana na kutumia gharama kubwa katika uzalishaji wa mbegu hizo . ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910) ⚫️ Email: [email protected] OR [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

Kilimo biashara: Manufaa ya ng'ombe aina ya Sahiwal

DAKIKA 30 NDANI YA SHAMBA LA WAZIRI MKUU MH MIZENGO PINDA - HAPA NI ZAIDI YA CHUO KIKUU

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

UFUGAJI WA KISASA || Serikali kupitia NARCO yaanza kuunza madume bora ya ng'ombe aina ya Borani

TARI YAJA NA MBEGU CHOTARA ZA MIGOMBA

KILIMO CHA MITI

WAKULIMA WAKAMATA NG'OMBE 300 ZA WAFUGAJI GEITA, "WAMEZOEA, WANATUTOLEA MIKUKI"

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

Wafugaji nane na ng'ombe 700 washikiliwa na jeshi la polisi

Inama ya Unity Club | Gen (Rtd) Fred Ibingira

JIFUNZE JINSI YA KUPANDISHA N'GOMBE KWA CHUPA TOKA BANDA LA MANISPAA YA TEMEKE.

TAZAMA MTAFITI WA TARI KIHINGA ANAVYOBAINISHA HATUA ZA UCHAVUSHAJI WA MBEGU BORA ZA MICHIKICHI .

''SGR INA WALAKINI? MTAACHA LINI MATUMIZI MAKUBWA - MAGARI MENGI'' - MWANDISHI wa DEUTESCHE WELLE

Longido yaongoza kwa ufugaji wa Ngombe | Mamia wafurika kujionea

UFAFANUZI wa MSIGWA KUHUSU UMEME KUKATIKA NCHI NZIMA - ''MITAMBO ILIJIZIMA SABABU ya HATARI''...

Wakulima wa ngano walilia miundombinu bora ili kuongeza tija

KILIMO AJIRA YANGU-TARI KUWEZESHA KILIMO CHA KARANGA MIKOA YA DODOMA,SINGIDA NA GEITA

