WAFANYABIASHARA KARIAKOO WASISITIZA AMANI KUELEKEA...
DAR ES SALAAM: WAFANYABIASHARA wa soko kuu la Kariakoo wamesema uvunjifu wa amani katika nchi unaathiri maisha yao kwa kiasi kikubwa na kuwataka watanzania waepuke kufata mkumbo wa uvunjifu wa amani. Wakizungumza jijini Dar es Salaam na Dailynews Digital wafanyabiashara hao walisema kuwa hawako tayari kujihusisha na vurugu ya aina yoyote huko wakijitoa kulinda soko lao kwa kuripoti kwa vyombo vya ulinzi na usalama viashiria vyovyote na uchochozi na uvunjifu wa amani. Wamesema kuwa maisha yao na watanzania wengine yanategemea kufanya shughuli za kila siku ili waweze kupata chakula hivyo hawamudu kukaa ndani kama ilivyotokea Oktoba 29,2025. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: / spotileo-176. . HabariLeo: / habarileo DailyNews: / dailynewstz INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

🔴LIVE: MWENYEKITI TAIFA ACT WAZALENDO OTHMAN MASOUD ANAFUNGUKA MUDA HUU

PART 1 :KUVUNJA MADHABAHU ZINAZOPINGA NA KUKAMATA HATIMA ZA WATU || 18 JULAI, 2023

WAZANZIBAR SIO WABAGUZI - DK MUCHUNGUZI, AFUNGUKA MAZITO

Frankreich – Schweden Highlights | Sechzehntelfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio

CHALAMILA AMALIZA MGOGORO WA NYUMBA DAR, ATOA MAAGIZO HAYA

I Made A Tandoor From Improvised Materials And Fried Beef Steaks On The Bone!

MSLAC YASULUHISHA MGOGORO WA ARDHI ARUSHA, WANANCHI WAFUNGUKA

Frankreich - Schweden, Highlights mit Livekommentar | FIFA WM 2026 | MAGENTA TV

China’s Giant Cassava Flour Factory Exposed

HATUPOTEI | REV. DR. ELIONA KIMARO

Chef Jeff and Igunza Take Over the Kitchen.

THE HOUSEMAIDS AUDITION | MR MACARONI | MUMMY WA | PRETTY PLAY | TRINITY UGONABO | SOPHIE
100-year history of US meddling, coups and wars in the Middle East | Roy Casagranda | UNAPOLOGETIC

How to Build & Sell AI Agents: Ultimate Beginner’s Guide

Cooking A Massive Lamb Pilaf For a Mountain Village Feast!

Zohran Mamdani says Iran war speaks to a “broken kind of politics” | Newsmakers

Gachagua to Ruto: Leave journalists alone, don't take Kenya back to the dark days of the 80s and 90s

Afghan most Famous Kabuli Pulao | Pakistani Karahi | Biryani recipe | Roasted chicken | Street food

Nigeria: ‘Renewed Hope’ or ‘Hopelessness’? | Mehdi Hasan and Daniel Bwala | Head to Head

