MBEYA NI MOYO WA UCHUMI WA TANZANIA” MWALUNENGE ATOA KAULI NZITO BUNGENI, AITAKA SERIKALI KUKAMILISH
Mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini Patrick Mwalunenge amesema mkoa wa Mbeya una mchango mkubwa katika uchumi wa taifa kutokana na kuwa njia muhimu ya usafirishaji wa mizigo kwenda nchi jirani. Akichangia bungeni, Mwalunenge amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha za utekelezaji wa miradi ya barabara ikiwemo ujenzi wa barabara ya njia nne jijini Mbeya pamoja na mradi wa barabara ya mzunguko. Mbunge huyo pia ameishauri Wizara ya Ujenzi kuhakikisha wakandarasi wanaongeza kasi ya utekelezaji wa miradi hiyo ili wananchi na wafanyabiashara waanze kunufaika mapema. Aidha amesisitiza umuhimu wa barabara ya Makongorosi–Lwango katika kukuza biashara na uchumi wa maeneo hayo. Katika hatua nyingine, Mwalunenge ameikosoa Sheria ya Manunuzi ya Umma akidai imekuwa ikikwamisha utekelezaji wa miradi na kuwanyima nafasi wakandarasi wazawa kushiriki kikamilifu kwenye miradi mikubwa ya maendeleo. #Mbeya #PatrickMwalunenge #Bunge #Barabara #SamiaSuluhuHassan #Uchumi #Tanzania #Habari #Siasa #Miundombinu

SPIKA ZUNGU AMKEMEA LUCY MAYENGA BUNGENI! KAULI YA “HAJITAMBUI” YAMPONZA, ATOA ONYO KALI

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu

Simba SC 4-0 Coastal Union | Highlights | Nusu Fainali CRDB Bank Fed, Cup 20/06/2026

At Iran peace talks, VP Vance, Pakistan PM Sharif, thank Trump for leadership & Middle East vision

MWALUNENGE AKUTANA NA MAAFISA USAFIRISHAJI MBEYA | MWIGULU ATOA MAELEKEZO

አባትዎ ሲገደሉ የት ነበሩ? ደረጀ ኃይሌ ከልዑል አስፋወሰን አሥራተ ጋር | ጀርመን | ክፍል 1|#በነገራችንላይ @ArtsTVWorld

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

Uhuru Kenyatta Exposed:Alileta Ukabila Kenya, Afadhali Ruto!"Nandi Leaders Speak Out!

BIBI wa SUMBAWANGA amvaa WAZIRI MKUU MWIGULU kwa madai haya MAZITO "sitaki kiwanja nataka hela"

KUZAGA, MULLA WATOA KAULI NZITO! WANANCHI WATAKIWA KUWA MABALOZI WA USALAMA BARABARANI

MARIASPACES: KUPITISHWA KWA MSWADA WA SENATE(BUNGE LABUSA) MAUAJI OCT29,MBINU KWENDA MAANDAMANO 7/7

Vance: US Willing to ‘Fundamentally Transform’ Iran Relationship

HILI NDILO NENO LAKE LA MWISHO AMBALO ALIMWAMBIA MUME WAKE WAKIWA PAMOJA JIKONI NA GAFLA AKAANGUKA

BALAA ZITO! SUGU AKINUKISHA MBEYA, SPIKA TULIA APITA, AMPA ZA USO, ATAJA SABABU ZA KUIONDOA CCM

Trump feuds with Italian PM as Iran peace talks loom

SAKATA LA CHADEMA MBEYA MWAMBIGIJA AMWASHIA MOTO MCHUNGAJI MSIGWA ADAI HANA 'UBAVU' WA KUMSIMAMISHA

MBUNGE WA IGALULA AHOJI KWA UCHUNGU UBOVU WA BARABARA MUHIMU!

🔴DIRECT L'invité de #MNF: Cheikh Yérim sur la décison du CC; Sonko sur la dette; Gestion du pays

MBEYA YAANZA MAPINDUZI YA MIZANI YA KIDIJITALI! RC MALISA ATOA WITO KWA VYAMA VYA USHIRIKA

