APEWE SIFA- Misa ya Askofu, Parokia ya UDOM: Organist Frank Mtawa, Mtunzi: Zacharia Gerald

Karilbu Kutazama wimbo huu mzuri wa kumsifu Mungu, ukiwa umeimbwa na Kwaya Shirikisho kanda ya Mashariki Chuo KIkuu Cha Dodoma, Katika Adhimisho la misa takatifu ya Askofu, iliyofanyika katika Ukumbi wa College of Informatics and Virtual Education, CIVE. Asante Sana.