TAFAKARI YA MANENO SABA YA YESU MSALABANI | Rev. Canon Profesa Emmanuel Mbennah

Karibu katika Tafakari ya Maneno Saba ya Yesu Msalabani Tafakari inatolewa na Reverend Canon Profesa Emmanuel Mbennah. Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe (2020-2022), ambaye pia amewahi kuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kanisa Anglikana Tanzania cha St. John's, Dodoma