WIMBO WA EEMC TAYOMI TAWI LA ATC

•Wimbo ambao umetungwa & kuimbwa na Watumishi wa Mungu chini ya mkakati wa EEMC TAYOMI hapa tawini; na kuzinduliwa mwezi Juni mwaka huu 2022. •Waimbaji Katika Wimbo huu ni Kama ifuatavyo:- ~ Joseph Emmanuel (Katibu wa EEMC 2021). ~ Miriam Msigwa (Mhazini wa EEMC 2022). ~ Flora Sylivand (M/kiti wa Kwaya CASFETA 2021). ~ Glory Kassim (Katibu Mkuu CASFETA 2021).