ABARI ZA SIMU (Official Video)

Wimbo huu wa injili, unaongelea jinsi watu waleo wanavyo tumia mda wao mwingi kutumia simu zao za mkononi katika kuchati, wengime hulala nazo na kukosa kabisa mda wa kusoma neno la Mungu. Tumeshauriwa kwamba tuendelee kuishi tukisoma sana neno la Mungu maana ndio taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu. (Zab 119:105 ; pia unaweza soma Mathayo 4:1-4)