YESU kristo, Bwana wangu , Nyimbo za wokovu

22.YESU kristo, Bwana wangu, Una am... 22.YESU kristo, Bwana wangu, Una amri na uwezo Za kuziondoa dhambi, Na ’takasa roho yangu. ’Nitolee masamaha, ’niokoe na jaribu, Unilinde hata mwisho, Unitwae kwako juu! 2. Mbele nilikuwa mwovu, Nilikukataa, Yesu, Kwa hakika sikujua Wewe na upendowako. 3. Bwana Yesu, usamehe Dhambi nilizozifanya! ’Siitike majaribu, Nguvu yako inilinde! 4. Tangu sasa Wewe, Yesu, U Mwokozi na Rafiki, Nimetengwa na Shetani, Niwe wako siku zote. Mel.: ”Hvilke venn vi har i Jesus” Sgt 48(535), Evgt 299 M.A.296.Tune: ”What a frie nd we have in Jesus” R.H. 532. J.M. Scriven, 1855