Mradi wa Kulinda Misitu na Mazingira ya Pwani Zanzibar Waanza Rasmi Utekelezaji
Mradi wa “Kulinda Misitu na Mazingira ya Pwani ya Zanzibar kwa Manufaa Endelevu” umeanza rasmi kutekelezwa baada ya kufanyika kwa Warsha ya Utambulisho na Kujenga Uelewa wa Pamoja kwa wadau mbalimbali Zanzibar. Akizungumza katika warsha hiyo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Ndugu Saleh Mohamed Juma, amesema maandalizi ya mradi huo yalifanyika kwa muda mrefu, hivyo warsha hiyo imekuwa muhimu katika kukumbushana malengo yake pamoja na kuimarisha uelewa wa pamoja. Ameongeza kuwa warsha hiyo pia imesaidia kufanya tathmini ya mazingira ya sasa ili kuhakikisha utekelezaji wa mradi unakwenda sambamba na hali halisi ya kijamii na kimazingira. Mradi huo utatekelezwa kwa kipindi cha miaka sita na unatarajiwa kuleta manufaa endelevu ya kiuchumi, kijamii na kimazingira kupitia uhifadhi wa misitu na maeneo ya pwani ya Zanzibar.

Traoré’s Massive Irrigation Network Is Stunning the World

West Africa Rice Investment Roundtable

Ethiopia’s Economy: Mamo Mihretu on Industrialisation, Growth and Economic Reform

CHALAMILA ALIVYOAGIZA MWENYEKITI AKAMATWE na POLISI BAADA ya KUDAIWA KUTAPELI WATU VIWANJA....

Dkt. Justine Assenga Mwakilishi FAO amesema kuna umuhimu wa kuwawezesha wataalamu wa mifugo

NSSA Compliance Requirements for NGOs | Talk to Your Regulator Initiative | NANGO Zimbabwe 2024

Kamati ya Uongozi ya Mradi wa TFSRP Yakagua Maendeleo ya Miradi Zanzibar

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

MIAKA 18 JELA KWA KUSINGIZIWA MAUAJI, ASIMULIA ALIVYOTESWA, AOMBA MSAADA

Somalia’s Government Implodes: What Next?

Uganda's 2026/27 National Budget Explained | PSST Ramathan Ggoobi Breaks It Down

🟠🟡 LIVE: SDA Special Sunday Service in Oloirien, Kajiado County | President Ruto & Dr. Oburu Odinga

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

MŨRŨGAMO WA KANG’ATA

Mradi wa Folur waanza Elimu ya Masuala ya Jinsia Katika Shehia za Kaskazini Unguja

WAZABUNI 11 WAWASILISHA ZABUNI ZAO WIZARA YA KILIMO

WAJAPANI NA MRADI WA UTALII BUSTANI YA FORODHANI NDANI

Scars from Russia: Former KDF pilot narrates his escape from Russia war, going for days without food

MHE. SHAKA AWATAKA WAHE. MADIWANI KUTOJIHUSISHA NA MIGOGORO YA ARDHI KINYUME NA SHERIA.

