Mjamzito kukosa Usingizi | Insomnia, Kwa nini Mjamzito hukosa Usingizi?

Mambo ambayo huweza kupelekea kukosa usingizi kwa Mama Mjamzito ni kama yafuatayo! 1. Kuongezeka kwa hamu ya kwenda kukojoa Mara kwa Mara usiku! 2. Kupata maumivu ya Mgongo kutokana na kulegezwa kwa ligaments kutokana na ongezeko la homoni ya Relaxin na nk. 3. Kupata Maumivu ya kubana na kauchia wakati wa usiku kwa sababu ya ongezeko la homoni iitwayo oxytocin usiku! 4. Mtoto anapocheza hupelekea wakati mwigine Mama kushindwa kulala ipasavyo! 5. Ugonjwa au shida ya kuwa na Mijongeo ya miguu wakati wa kulala usiku (RLS) kwa baadhi ya wajawazito kutokana na upungufu wa madini chuma na folic acid! 6. Kiungulia na GERD wakati wa Ujauzito na usiku. 7. Kulalia upande mmoja ambapo hupelekea Mjamzito kusijisikia vibaya wakati wa kulala husasani kuanzia miezi 7 kwenda juu. 8. Ongezeko la homoni iitwayo Estrogen ambayo hupunguza uwezekano wa kupati wa usingizi hususani miezi mitatu ya mwisho ya Ujauzito! 9. Matatizo au vitu vinavyopelekea Msongo wa Mawazo au shida za kisaikolojia kwa Mjamzito. NB: Ukitaka kujifunza zaidi ni fuatilie YouTube kwa jina la Dr.Mwanyika au bonyeza link hapo 👇👇👇👇    / drmwanyika   Ukiwa unamaswali unaweza kuuliza hapa chini (kwenye comments za youtube). Subscribe,Comment and Share JapideAfya_Services Your Health is Our Health Instagram as @JapideAfya_Services Facebook page as @JapideAfya_Services ©Dr.Mwanyika. #MamaAfya #KukosaUsingizi #JapideAfya_Services

America's Got Talent 2026 TOP 10 Auditions So Far!
▶︎

America's Got Talent 2026 TOP 10 Auditions So Far!

The Most Important Country in Africa You’ve Never Heard Of (Djibouti 🇩🇯)
▶︎

The Most Important Country in Africa You’ve Never Heard Of (Djibouti 🇩🇯)

Mjamzito Punguza Mate Kujaa Mdomoni Kwa Kufanya Hivi!! (Njia 10 ZA Kuondoa Mate Ktk Ujauzito).
▶︎

Mjamzito Punguza Mate Kujaa Mdomoni Kwa Kufanya Hivi!! (Njia 10 ZA Kuondoa Mate Ktk Ujauzito).

Je Dalili ZA Mtoto Kugeuka Tumboni Mwa Mjamzito NI Zipi? (Dalili 5 ZA Mtoto Kugeuka Ktk Ujauzito)!
▶︎

Je Dalili ZA Mtoto Kugeuka Tumboni Mwa Mjamzito NI Zipi? (Dalili 5 ZA Mtoto Kugeuka Ktk Ujauzito)!

Fahamu Mzunguko wako wa Hedhi, Dalili za Siku ya Ovulation pamoja na Tabia za Hedhi yenye Changamoto
▶︎

Fahamu Mzunguko wako wa Hedhi, Dalili za Siku ya Ovulation pamoja na Tabia za Hedhi yenye Changamoto

UNAUA FIGO ZAKO KWA TABIA HIZI 10, Prof. JANABI ANABAINISHA.  #kidney #kidneydisease #afya #news
▶︎

UNAUA FIGO ZAKO KWA TABIA HIZI 10, Prof. JANABI ANABAINISHA. #kidney #kidneydisease #afya #news

Je ni lini Mtoto hugeuka Tumboni?? | Ni Mambo gani hufanya Mtoto kutogeuka Tumboni mwa Mjamzito??
▶︎

Je ni lini Mtoto hugeuka Tumboni?? | Ni Mambo gani hufanya Mtoto kutogeuka Tumboni mwa Mjamzito??

Ni wakati gani sahihi kwa Mjamzito kusafiri? | Muda sahihi wa kusafiri wakati wa ujauzito ni upi???
▶︎

Ni wakati gani sahihi kwa Mjamzito kusafiri? | Muda sahihi wa kusafiri wakati wa ujauzito ni upi???

JE MAUMIVU UKENI KWA MJAMZITO HUTOKANA NA NINI?? | JINSI YA KUPUNGUZA MAUMIVU UKENI KTK UJAUZITO!!
▶︎

JE MAUMIVU UKENI KWA MJAMZITO HUTOKANA NA NINI?? | JINSI YA KUPUNGUZA MAUMIVU UKENI KTK UJAUZITO!!

Je Kwa Nini Mjamzito Hukosa Hamu Ya Kula Chakula?? (Kukosa Hamu Ya Kula Chakula NA Suluhisho Lake!).
▶︎

Je Kwa Nini Mjamzito Hukosa Hamu Ya Kula Chakula?? (Kukosa Hamu Ya Kula Chakula NA Suluhisho Lake!).

PENZI LA MAMA MKWE
▶︎

PENZI LA MAMA MKWE

Mtoto Hachezi Tumboni Mwa Mjamzito Kwa Nini?| Mtoto kutocheza au kuacha kucheza tumboni??
▶︎

Mtoto Hachezi Tumboni Mwa Mjamzito Kwa Nini?| Mtoto kutocheza au kuacha kucheza tumboni??

Dalili za Mimba ya Mtoto wa kiume / Je kuna ukweli katika dalili hizi za mtoto wa kiume tumboni????
▶︎

Dalili za Mimba ya Mtoto wa kiume / Je kuna ukweli katika dalili hizi za mtoto wa kiume tumboni????

91 Year-Old Grandmother Living Alone In A Mountain Village Forgotten By The World
▶︎

91 Year-Old Grandmother Living Alone In A Mountain Village Forgotten By The World

Je Maumviu Ya Miguu Kwa Mjamzito Husababishwa NA Nini? (Njia 10 ZA Kupunguza kubana miguu)!.
▶︎

Je Maumviu Ya Miguu Kwa Mjamzito Husababishwa NA Nini? (Njia 10 ZA Kupunguza kubana miguu)!.

94 Year-Old Grandmother Living Alone at the Edge of the World Far From Civilization
▶︎

94 Year-Old Grandmother Living Alone at the Edge of the World Far From Civilization

Je Mama Mjamzito mwenye Mapacha anaweza kujifungua wiki ya ngapi??. Uchungu wa kawaida huanza lini?.
▶︎

Je Mama Mjamzito mwenye Mapacha anaweza kujifungua wiki ya ngapi??. Uchungu wa kawaida huanza lini?.

Mimba kuharibika kutokana na utofauti wa Damu ya Baba na Mama | Visababishi na Jinsi ya kuepuka!??
▶︎

Mimba kuharibika kutokana na utofauti wa Damu ya Baba na Mama | Visababishi na Jinsi ya kuepuka!??

Je Maumivu ya kichwa kwa Mjamzito ktk miezi 3 ya mwanzoni husababishwa na nini? | Kichwa kuuma sana.
▶︎

Je Maumivu ya kichwa kwa Mjamzito ktk miezi 3 ya mwanzoni husababishwa na nini? | Kichwa kuuma sana.

RESTORING THE ORDER 2026 - DAY-2 #dunsinoyekan #worship #intimacy
▶︎

RESTORING THE ORDER 2026 - DAY-2 #dunsinoyekan #worship #intimacy