PART 7 USHUHUDA WA ALIYEKUWA MTENDAKAZI WA KUZIMU

Lengo letu ni kuleta mafundisho yenye uzima kwa makanisa ya Kikristo na nuru ya ukweli kwa wale wanaoishi gizani. Tutaufunua ulimwengu wa roho kupitia ushuhuda wa kila mtu ambaye amepata uzoefu wake. Katika channel hii pia tutaangazia dhana zisizo za kawaida, kurejesha injili ya kanisa la kwanza kwa ajili ya wokovu wa wale waliopotea. Hatutetei madhehebu au kanisa maalum; tuko wazi kwa wapentekoste,, walutheri na wengineo. ili kusikiliza radio yetu basi bonyeza link iyo apo chini. ​https://onlineradiobox.com/tz/shuhuda...