Wakazi wa Nyanza wasifiwa kwa kususia maandamano
KUMBUKIZI ZA JUNI 25 Viongozi wa kisiasa na maafisa wa serikali kutoka eneo la Nyanza wamewapongeza wakazi wa eneo hilo kwa kupuuza wito wa kushiriki katika maandamano ya siku ya Alhamisi. Wanasema kuwa hatua hiyo ilidhihirisha kuwa eneo liko tayari kwa maendeleo. Viongozi hao walio-kongamana huko Migori kwa ajili ya mpango wa uwezeshaji wa wanawake waliwataka wenyeji kumuunga mkono Rais William Ruto katika azma yake ya kuchaguliwa tena kwa minajili ya maendeleo endelevu. Kama Wycliffe Oketch anavyoripoti, wakazi wa eneo hilo walitakiwa kujiandikisha kwa wingi kuwa wapiga kura ili kulipa eneo hilo sauti inayohitajika kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka ujao. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: / kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive

Ruto's MPs HUMILIATED in Trans Nzoia — Pukose Heckled, Siyoi Chased: County Refuses To Be Bought

Mikutano ya hadhara ya kisiasa Tanzania, yapigwa marufuku

CS Murkomen accuses Gachagua of divisive politics

The Real Reason Amisi Attacked Sifuna (Leaked Intel) | Lee Makwiny

Baadiyaha Muqdisho Ayaan Maalin dhan Ku noolaa.

Protests, Security & The Law | Mic Kwa Ground

EPIC GAME 😱 RONALDO & PORTUGAL DESTROY DENMARK IN HUGE WIN

Ndindi Nyoro dismisses claims that he is a project

Everyone Is Watching Ruto... But James Orengo May Be Playing the Biggest Game | Lee Makwiny

Gulf state CONDEMNS Iranian drone attack: 'FLAGRANT THREAT'

Standard Media responds to President Ruto's blackmail claims

Julius Kipngetich, Group CEO of Jubilee Holdings | Full speech at Man Cave 6

BIBI wa SUMBAWANGA amvaa WAZIRI MKUU MWIGULU kwa madai haya MAZITO "sitaki kiwanja nataka hela"

NYAMIRA ERUPTS! SEN. ONYONKA RALLIES MASSIVE CROWDS TO WELCOME MATIANG'I

The Gallery of Ruto's Lies PART 1: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects

The Gallery of Ruto's Lies PART 2: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects

June 25 anniversary, Nairobi's 'birdman' is back and more on Trend Setters

Boniface Mwangi: I have been fighting for this country half my life. No one pays me

Jimi Wanjigi unveils alternative budget and 2027 manifesto, rules out joining opposition alliance

