BAADA YA KUGUNDUA MAKOSA YAKE: MWANKEMWA SASA KUJIFUNZA BIBLIA KWA WASABATO

Fuatilia Video hii ili kubaini kwamba, Yesu na wanafunzi wake hawakuwahi kuanzisha ibada ya Jumapili, wala Agano jipya halina maana ya kubadilisha siku ya ibada. Huduma ya Yesu haihusu kuanzisha siku mpya ya ibada bali kufanya upatanisho kwa dhambi za wanadamu Mathayo 1:21. Video hii itakuonyesha historia ya utunzaji wa Sabato katika Kanisa la Mitume hadi Karne ya 4. Wasiliana nami kwa +255 754 420 126