MAZIKO ya MSTAAFU MKULO KIJIJINI KWAO KILOSA - LUKUVI - PROFESA KABUDI WASHIRIKI...
MAZIKO ya MSTAAFU MKULO KIJIJINI KWAO KILOSA - LUKUVI - PROFESA KABUDI WASHIRIKI... Aliyekua waziri wa fedha na mbunge Jimbo la kilosa (2005_2015) marehemu Mustapha Mkulo tayr amezikwa Kijiji kwao Kimamba B Wilaya ya kilosa Mkoa Morogoro Mkulo alifariki mei 3 mwaka huu jiji dar na kuzikwa mei 5 mwaka huuo Kijiji kwao ambapo Viongozi mbalimbali wamehuduria katika mazishi yake akiwemo mbunge wa Ismani William Lukuvi ,Mbunge wa kilosa Prof.Palamagamba Kabudi ,Mkuu wa mkoa Morogoro Adam Malima,Mkuu wilaya kilosa Shaka Hamdu Shaka, George mkuchika,Ridhiwan Kikwete ambapo kwa nyakati tofauti waneelza namna wanavyomfahamu marehemu . Kwa Upande wake mtoto wa marehemu aliyefahamika Kwa jina la Ahmed Mustapha Mkulo amesema ataendeleza yote aliacha baba yake ikiwemo kutoa misaada Kwa makundi mbalimbali wilayani humo kama alivyokua akifanya baba yake Jishindie Zawadi na Global TV Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV 👉🔥👉https://forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7 ============================================================ ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

WAZIRI WA FEDHA MSTAAFU MHE.MKULO AZIKWA KIJIJI KWAO KILOSA"VIONGOZI WAMLILIA

HII NDIO STESHENI YA SGR KILOSA, ILIPOFIKIA MPAKA SASA NA UTOFAUTI WAKE NA STESHENI NYINGINE

DUDU BAYA AMTAJA MSTAAFU KIKWETE na MWAMPOSA - ''SIKU NIKIFA WATAKUJA KUBUSU KABURI LANGU''...

LIVE: MAZISHI YA MKUU WA MAJESHI KENYA JENERALI FRANCIS OMONDI OGOLLA

RAIS SAMIA AKIMUAGA RAIS SHANMUGARATNAM wa SINGAPORE - IKULU DAR ES SALAAM...

NARWANYE KWA IDI AMIN MBERE YO KUJYA MU NKOTANYI||UBUNDI IRIYA MBUNDA NINI NIYO YANJYE||AFANDE KING

Kilosa - Tanzania | Villages of Africa - Faith Inspiring Stories | Documentary

HIVI NDIVYO DIRECTOR KHALIFAN KHALIMANDRO ALIVYOZIKWA, MASTAA MBALIMBALI WAHUDHURIA MAZISHI YAKE

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

KUFIKIA HAPA CHADEMA ITAKUWA NGUMU SANA KUKWEPA, ANAWAPELEKA TENA MAHAKAMANI NA KESI KUANZA UPYA

UGENI MZITO TANZANIA, RAIS SAMIA AMPOKEA RAIS WA SINGAPORE

MTO MKONDOA WAPATA DAWA ,WAHANDISI WAANZA KUUDHIBITI USIHARIBU TUTA LA RELI KILOSA GULWE

MCHIZI MOX AMKATAA MAJANI - ''SIYO PRODUCER MKUBWA - TULIVYOANDIKA MIKASI NGWEA HAKUWA TUNGI''...

HOTUBA YA MUFTI MBELE YA VIONGOZI WA KISHIA KATIKA HAFLA YA AL-MUSTAFA

KILOSA, SGR INAPOPITA JUU YA RELI YA ZAMANI KAZI INAENDELEA

MWENYE DEGREE 9 ACHUKUA FOMU YA USPIKA, NI MTUMISHI WA SERIKALI

Dk Bashiru aibua shangwe Bungeni, amtaja Magufuli akieleza UDSM kilivyotoa viongozi wakubwa Afrika

MASKINI MKE wa MANDOJO ALIVYOMUAGA MUMEWE - MWILI WAONDOLEWA DODOMA kwa MAZIKO KESHO MANYONI...

GUMZO MAZISHI YA PELE, KABURI LAKE KUWEKWA GHOROFANI, ULIMWENGU WASHANGAZWA

