VURUGU Zaibuka MBAGALA Wabeba MKAA na MALIASILI WADAI KUONEWA, AFISA MISITU Afunguka...
VURUGU Zaibuka MBAGALA Wabeba MKAA na MALIASILI WADAI KUONEWA, MUHIFADHI AFUNGUKA... Vurugu zimeibuka katika eneo la Kokoto Mbagala jijini Dar es Salaam baina ya wauza mkaa na Askari wa mali asili kutoka Temeke ambapo Global tv ilifika eneo la tukio na kupata nafasi ya kuongea na baadhi ya wafanyabiashara wa mkaa pamoja na wabeba mkaa ambapo walidai kuonewa na watu wa maliasili kutoka Temeke na kusema wanalipia vibali vyote ila wakifika wanapokonywa mikaa hiyo pamoja na Pikipiki zilizotumika kubeba mikaa hiyo. Kwa upande wake Muhifadhi misitu Sande Nachuli amesema wakiwa kwenye doria ya kawaida ya kukagua mazao ya misitu kujua uhalali na kufuatia vurugu hizo amesema ni elimu kwa wafanyabiashara hao wao kama wahifadhi jukumu lao ni kusimamia sheria na taratibu za mazo yatokanayo na misitu. ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982) ⚫️ Email: [email protected] OR [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

DC KIBAHA AJILIPUA kwa RAIS SAMIA - ''LIWALO NA LIWE, NITAMUAMBIA, MUNIOMBEE NISITUMBULIWE''..

VURUGU WADUDU WAFUNGA BARABARA ARUSHA, WAZUIWA KUFIKA NYUMBANI KWA MWENZAO ALIYEFARIKI.

MISITU KISARAWE HATARINI, SHUGHULI HATARISHI ZATAJWA

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

Kwa uchungu BIBI mbele ya RC CHALAMILA aelezea chanzo cha ARDHI ya BABA YAKE kutapeliwa na wavamizi

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

SAUTI ZASIKIKA CHINI YA KIFUSI KARIAKOO, BONDIA MWAKINYO AINGIA NDANI “INAUMIZA, NIMEJITOA”

JINSI POLISI WALIVYOHUKUMIWA KUNYONGWA kwa KUMUUA MFANYABIASHARA wa MADINI MTWARA - SINDANO YA SUMU

SADIO MANÉ HUMILIATED BRAZIL AND SENEGAL INJURED THE BRAZILIAN NATIONAL TEAM WITH A HISTORIC DEFEAT!

MWANZO MWISHO:Dakika 15 Za Mlima KITONGA Kuelekea IRINGA Ni Balaa!

MALI EPISODE 1 #benroyalmovies #jungwa #actionmovie #mali #episode1

MJANE wa MZEE MAJUTO - BIBI REHEMA - "KWA KWELI NIMEUMIA SANA kwa KIFO cha MZEE ONYANGO"

UTATA WAWAWEKA PAMOJA WABEBA MKAA KWA BODABODA, WAKALA WA MISITU

POLISI PWANI WAPIGA MARUFUKU BODABODA WABEBA MKAA MAARUFU KAMA 'BUSTA'

ASKARI MALIASILI WAMUUA JOHN KWA RISASI KISARAWE/FAMILIA YACHACHAMAA/ POLISI YATOA TAMKO

Dangerous Pakistani Factory Works FORGING the World’s Largest Industrial Gear | Full Process

KUFUATIA TUKIO LA KIFO CHA MBEBA MKAA MAARUFU BUSTA ,KATIBU WA UMOJA HUO NA WENZAKE WANAELEZA

AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI NA ASKARI

DC KALLI AINGILIA KATI KERO ZA MADEREVA WA MALORI LONGIDO

