NIKIMKABIDHI VIFAA VYA KAZI FUNDI UMEME MWENZANGU TOKA MWANZA

Nikimkabidhi vifaa fundi umeme mwenzangu kutokea Mwanza baada ya kuvutiwa sana na kazi ninazotoa kupitia mitandao ya kijamii na ndio alipanga safari kuja Dar esa Salaam baada ya kuniomba nimtafutie vifaa na ndipo alipofika na kumkabidhi. 0713946570