Karubandika Lyrics(Zilipendwa) -Orchestra Maquis Original

▬▬▬▬🔔☘ Thanks For Watching☘ 🔔▬▬▬▬ 🎧If you like video please 🍁SUBSCRIBE⚡LIKE🔥SHARE🌞COMMENT🎼 Be sure to subscribe if you want to be notified of every new video! We upload daily! ♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦♦ Lyrics: Karubandika - Orchestra Maquis Original "Karubandika" from the album "Karubandika" VERSE 1 Kama wewe ungenipenda Kwa nini kunidanganya bwana wee Kujibandika madaraka sio yako bwana wewe x2 VERSE 2 Nimesikia tetesi kuwa huna lolote hata kazi huna eeh Unazurura mchana kutwa eeh,Kupita kurandaranda mitaani Kumbe hukuwa na uwezo wa kunioa ila kuniharibia maisha Heri kuniambia, ukweli ulivyo kuliko kunidanganya Nikuelewe vipi eeh,Babu eeh Uaminifu wako uko wapi eeh,Baba x2 ♦♦♦♦♦♦♦♦♦CHORUS♦♦♦♦♦♦♦♦♦ Usinione bwege baba,Usinione bwege baba Kwa kukubali wito wako,Karubandika eh Kwa kukubali wito wako,Karubandika eh Haya yote ni matatizo ya dunia baba Haya yote ni matatizo ya dunia baba x2 VERSE 3 Nilitaka kujitumbukiza ndani ya moto mie Kumbe bwana yule,Hana kitanda wala shuka Pa kulala hana,Analala kwenye stendi ya basi Pa kulala hana,Anakesha kwenye kituo cha Kuunda Karubandika yoyo,Acha vituko wee baba x2 ♦♦♦♦♦♦♦♦♦"Repeat Chorus"♦♦♦♦♦♦♦♦♦ VERSE 4 Akiingia kwenye baa,Kazi yake kuomba bia Akiingia kwenye baa,Kazi yake kuomba bia Hana hata aibu eh,Sigara pia anaomba Mitaani na kwenye mastori,Hujitangazia kuwa yeye Ni mkurugenzi wa kampuni fulani oh,Kumbe sivyo hivyo ♦♦♦♦♦♦♦♦♦"Repeat Chorus"♦♦♦♦♦♦♦♦♦ ubscribes | View | Share on Channel Account : / ‪‪‪‪‪@MasterMatofali‬ +For More Information Booking for Lyrics/Graphics : Contact : +255766406461 Email : [email protected]📩 #swahililanguage #zilipendwa #Zilipendwa_Playlists #zilizopendwa