LIVE : IBADA YA MASIFU YA ASUBUHI: 23-06-2026

Karibu katika Ibada ya Masifu ya Asubuhi(Morning Glory) MUBASHARA kutokea hapa K.K.K.T Usharika wa Kanisa Kuu Dodoma. Mnenaji ni Mt. Patrick Olomi na Mwl. Mandela Mwambeso Unaweza kuungana nasi kwa SADAKA yako kupitia Lipa namba (Mixx by Yas) 16037181 KKKT Usharika wa Dodoma Mjini, unaweza kutuma sadaka yako kutoka mitandao yote. MUNGU AKUBARIKI. #IBADA #masifu #mubashara #kkkt #E.L.C.T #dodoma #2025 #tanzania #evening #glory #2025 #wordofgod #praiseandworship #bible #biblia #biblestudy.