JINSI JPM Alivyomwagia SIFA Mbunge wa NANYAMBA
JPM Alivyomwagia SIFA Mbunge wa NANYAMBA Rais jpm amewataka wananchi wa mkoa wa mtwara Wilayani Nanyamba kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kuzitumia vizuri barabara zinazoendelea kutengenezwa na serikali ya awamu ya tano mkoani humo. Rais magufuli ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na wananchi wa wilaya ya nanyamba mkoani humo katika muendelezo wa ziara yake ya kikazi kwa siku tatu mkoani humo. Aidha rais magufuli amesema kuwa serikali imeamua kupanua bandari pamoja na uwanja wa ndege wa mtwara kwaajili ya kuupanua mkoa huo kuwa na maendeleo yakibiashara, huku akitoa kasoro mbalimbali zinazoendelea kujitokea katika vyama vya ushirika mkoani humo. Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website:www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho

BREAKING: JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere

WAZIRI MKUU MWIGULU AWASIMAMISHA WATOTO WAKE WAWILI JUKWAANI - SIKIA WALICHOKIONGEA...

Rais Magufuli kafuta machozi ya Mama asiyeona, DC chupuchupu atumbuliwe

Ushawahi Kuona Kimbelembele? | Prof Hamo Stand-Up Comedy

🔴#LIVE: MAGUFULI Atinga KUKAGUA SGR, Apitisha MCHANGO wa FEDHA kumalizia SHULE...

Rais Magufuli ampa Tsh. Laki 1 Mwanafunzi aliyefichua ubovu wa shule ya msingi Somanga

ODM's Edwin Sifuna says “he does not fear anyone and is ready for whoever comes his way”

LIVE KUTOKA MTWARA: RAIS MAGUFULI AKIZUNGUMZA NA WANANCHI

MKUTANO WA ASKOFU GWAJIMA | NANYAMBA-MTWARA I 08.04.2023

Gahunda yari ukurwanya M23 bagakomeza no mu Rwanda | Gen (Rtd) Kabarebe ku mugambi mubisha wa DRC

🔴#TBCLIVE: UZINDUZI WA HOSPITALI YA RUFAA KANDA YA KUSINI MTWARA

Africa Suffering Because We Elect The 'Worst' To Lead Us – Lumumba

Why did MP George Kapten die in his sleep on Christmas Day? | Kapten's Fatal Christmas

DC ATOA SIKU 14 ZA UCHUNGUZI SAKATA LA MABAUNSA WANAODAIWA KUVUNJA MAGETI YA MAKAZI UPANGA

Jaji Warioba Aongea: Ripoti ya Chande, Maridhiano, Katiba, Aonya Kuzuia Mawazo: Watanzania Wanaogopa

NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA

MAGUFULI Kasimama BARABARANI Kawaambia Wananchi "Tutakuwa Zaidi ya Ulaya"

MAMA HUYU HAJAOGOPA MBELE YA MAGUFULI AILIPUA HOSPITALI, WAZIRI AMJIBU..

RAIS MAGUFULI ALIVYOWASILI LINDI - "NAKUPA HELA ZANGU, USIENDE KUZIHONGA"

