Hadithi Ya Sodoma Na Gomora: Abrahamu Na Hukumu Ya Mungu

Hadithi Ya Sodoma Na Gomora: Abrahamu Na Hukumu Ya Mungu ni mojawapo ya simulizi zenye uzito mkubwa katika Biblia, ikionyesha uadilifu wa Mungu pamoja na rehema yake. ‎ ‎Katika video hii, tunafuatilia kisa cha Abrahamu alipokutana na wageni watatu na jinsi alivyosimama mbele za Mungu kuombea miji ya Sodoma na Gomora. ‎ Kisa hiki kinapatikana katika Kitabu cha Mwanzo (Genesis) sura ya 18 hadi 19 katika Biblia. Kinaonesha jinsi dhambi zilivyoenea katika miji hiyo, na jinsi Mungu alivyokusudia kuleta hukumu, lakini pia tunaona moyo wa Abrahamu wa kuombea wenye haki. ‎ ‎Katika Haduthi hii utajifunza: ‎Maana ya haki na hukumu ya Mungu ‎Nafasi ya maombezi (intercession) kupitia Abrahamu ‎Na kwa nini Sodoma na Gomora ziliangamizwa ‎ Mafundisho muhimu kwa maisha ya leo ‎Video hii imeandaliwa kwa mtindo wa simulizi ya kuvutia, ikiwa na picha za uhalisia (realistic visuals), sauti ya msimulizi wa Kiswahili, pamoja na muziki unaoendana na matukio. ‎ ‎#SodomaNaGomora ‎#Mwanzo18 #Mwanzo19 #Abrahamu ‎#HukumuYaMungu #Sarah #MafundishoYaAbrahamu ‎#RehemaZaMungu #WageniWatatu #BibliaSimulizi ‎ ‎