IBADA YA JUMAPILI - MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA KANISA LA UASKOFU (AICT MAGOMENI) | 27.10.2024 (LIVE)

Karibu katika ibada ya leo kutoka kanisa la AICT Magomeni, Dar es salaam Tanzania. Ratiba ya Ibada: Ibada ya Kwanza - Saa 12:30 asubuhi - 2:00 asubuhi Ibada ya Pili - Saa 2:00 asubuhi - 6:00 Mchana (LIVE) Sadaka: BANK: CRDB BANK LIMITED A/C NO: 0150427351400 NAME: AICT MAGOMENI Kwa maoni, ushauri karibu utuandikie ujumbe kupitia Whatsapp namba +255 767 638 219