BAJETI YA ZANZIBAR YAWASILISHWA, TRILIONI 8.5 KWA MWAKA 2026/2027
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Dkt. Juma Malik Akil, amewasilisha Bajeti Kuu ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa mwaka wa fedha 2026/2027 yenye makadirio ya takribani shilingi trilioni 8.5. Akiwasilisha bajeti hiyo katika Baraza la Wawakilishi, Dkt. Juma amesema fedha hizo zitaelekezwa katika utekelezaji wa mipango mbalimbali ya maendeleo pamoja na kuimarisha utoaji wa huduma za kijamii kwa wananchi. Bajeti hiyo inajumuisha vipaumbele mbalimbali vya serikali vinavyolenga kukuza uchumi, kuongeza ajira, kuimarisha miundombinu na kuboresha ustawi wa wananchi. Baada ya kuwasilishwa, bajeti hiyo sasa inatarajiwa kujadiliwa na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kabla ya kupitishwa rasmi kwa ajili ya utekelezaji katika mwaka mpya wa fedha. #Zanzibar #Bajeti20262027 #DktJumaMalikAkil #BarazaLaWawakilishi #Maendeleo #Uchumi #ASAMOnlineTV

DKT. SAADA : ZANZIBAR HAIWEZI KUBEBA MATIBABU YA WATU MILIONI 60, KAULI YANGU IMEPOKELEWA KISIASA

MTAFARUKU: Wazanzibari Wawachonokoa Watanganyika

Mkataba wa amani kati ya Marekani na Iran huenda ukasainiwa Jumapili huko Geneva.

SHIRIKA KUBWA LA HABARI URUSI LATOA MAFUNZO YA HABARI KWA WANAFUNZI WA SUZA

NAIBU SHEHA ASIMAMISHWA KAZI KWA UUZAJI WA MAENEO YA HIFADHI - PAJE

EMBE ZA MUYUNI ZANZIBAR ZAZUA BALAA ''utakachojibiwa hukitaki, una majibu Mfukoni''

#TBC: CHOMA WATERFALLS

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

SAKATA LA WATANGANYIKA KUBAGULIWA ZANZIBAR Kwenye KAZI, N.WAZIRI WA DIASPORA AKANUSHA

WAZIRI MKUU MWIGULU AWASIMAMISHA WATOTO WAKE WAWILI JUKWAANI - SIKIA WALICHOKIONGEA...

''ZANZIBAR IPEWE NAFASI'' MBUNGE KING ashusha PONTI kuhusu MUUNGANO

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

China Is Building East Africa's Largest Port in Tanzania

KIJANA APORWA ZAIDI YA MILIONI 10 BAADA YA KUVAMIWA NA WATU WASIOJULIKANA

CHALAMILA ALIVYOAGIZA MWENYEKITI AKAMATWE na POLISI BAADA ya KUDAIWA KUTAPELI WATU VIWANJA....

MAMLAKA YA MJI MKONGWE YAWABANA WAFANYABIASHARA HOLELA DARAJANI

WAZIRI MWIGULU NA MWANAE WASHUSHA NONDO NZITO KWENYE MKUTANO NA WANANCHI

UTABIRI wa PASTOR EZEKIEL kwa WEMA SEPETU UMETIMIA! HATIMAYE AMEJIFUNGUA MTOTO wa KIUME...

🔴#TBCLIVE: ZIARA YA WAZIRI MKUU MKOANI SINGIDA

