Bilionea Mo azungumzia safari ya utajiri wa familia yao

Rais na Mtendaji Mkuu wa MeTL Group, Mohammed Dewji, ameelezea namna alivyofanya mageuzi ya biashara ya familia yao kwa kipindi cha karibu miongo mitatu hadi sasa kuwa miongoni mwa kampuni kubwa barani Afrika yenye mapato ya karibu Sh8trilioni. Dewji anasema METL ambayo ilianzishwa zaidi ya nusu karne iliyopita, ilianza kwa msingi wa biashara ndogo, ambapo babu na bibi zake walikuwa wafanyabiashara wa rejareja wakiuza chumvi na bidhaa nyingine za matumizi ya kila siku katika duka dogo lililokuwa kijijini Tanzania. Baadaye baba yake aliipanua kutoka kwenye duka hilo dogo la rejareja na alifanikiwa kuwa na biashara yenye Dola milioni 30 (Sh70.9 bilioni) kwa mwaka, Mo anasema hatua hiyo ilihitaji uthabiti, azma isiyoyumba na imani kubwa na imani hiyohiyo ndiyo inayoendelea kumpa msukumo hadi leo. Akizungumza katika mkutano wa biashara ulioandaliwa na Benki ya Standard Group (Africa Unlocked 2026) uliofanyika jijini Cape Town Amefunguka hatua iliyofuata baada ya yeye kuchukua mikoba na hali ilivyo sasa. Usikose kufuatilia kupitia mwananchi.co.tz au kuapata nakala yako ya gazeti la Jumamosi ya Julai 11, 2026.

ጠ/ሚ ዐቢይ አሕመድ በታሪካዊው የሀገራዊ ምክክር መክፈቻ ላይ ያደረጉት ሙሉ ንግግር
▶︎

ጠ/ሚ ዐቢይ አሕመድ በታሪካዊው የሀገራዊ ምክክር መክፈቻ ላይ ያደረጉት ሙሉ ንግግር

HOW DO WE BUILD THE NEXT GENERATION OF TANZANIAN BANKERS?
▶︎

HOW DO WE BUILD THE NEXT GENERATION OF TANZANIAN BANKERS?

How George Gacheru started one of Kigali's best nyama choma joints
▶︎

How George Gacheru started one of Kigali's best nyama choma joints

Asking Africa’s Richest Man How He Made $30 Billion!
▶︎

Asking Africa’s Richest Man How He Made $30 Billion!

ባሕር ያሳጣን እኩይ ክስተት… - የጠቅላይ ሚኒስትር ዐቢይ አሕመድ (ዶ/ር) መልዕክት
▶︎

ባሕር ያሳጣን እኩይ ክስተት… - የጠቅላይ ሚኒስትር ዐቢይ አሕመድ (ዶ/ር) መልዕክት

🚨 MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI | AFICHUA  AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42 IRAN YOTE
▶︎

🚨 MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI | AFICHUA AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42 IRAN YOTE

Dee Mwango’s Village Life After Travelling to 80+ Countries | Love, Loss & Finding Happiness Again
▶︎

Dee Mwango’s Village Life After Travelling to 80+ Countries | Love, Loss & Finding Happiness Again

SEFUE AZUNGUMZIA MAANDAMANO, GEN Z NA CHANGAMOTO ZA MALEZI
▶︎

SEFUE AZUNGUMZIA MAANDAMANO, GEN Z NA CHANGAMOTO ZA MALEZI

Aliko Dangote: The $13 Billion Bet to Transform Africa's Economy
▶︎

Aliko Dangote: The $13 Billion Bet to Transform Africa's Economy

BALOZI SEFUE ATAJA MBINU KUKUZA UCHUMI WA WATANZANIA
▶︎

BALOZI SEFUE ATAJA MBINU KUKUZA UCHUMI WA WATANZANIA

MO AFUNGUKA SABABU ZA KUWEKEZA SIMBA NA MATAMANIO YAKE
▶︎

MO AFUNGUKA SABABU ZA KUWEKEZA SIMBA NA MATAMANIO YAKE

Africa Legacy–#EP3: Building Sustainable Economic Institutions in Africa with Jean-Luc Konan
▶︎

Africa Legacy–#EP3: Building Sustainable Economic Institutions in Africa with Jean-Luc Konan

#TBC: HOW HE STARTED AND MADE IT, THE SUCCESS STORY OF MASOUD KIPANYA
▶︎

#TBC: HOW HE STARTED AND MADE IT, THE SUCCESS STORY OF MASOUD KIPANYA

RAIS SAMIA AWAJIBU JUMUIYA YA MADOLA SAKATA LA LISSU, "MATAMKO YANATUWEKA KATIKA WAKATI MGUMU"
▶︎

RAIS SAMIA AWAJIBU JUMUIYA YA MADOLA SAKATA LA LISSU, "MATAMKO YANATUWEKA KATIKA WAKATI MGUMU"

Ikonya: Unyitaniri wa ciama cia mung’ethaniro ni kweheria Ruto wathani-ini, ti gwetha kingpin’
▶︎

Ikonya: Unyitaniri wa ciama cia mung’ethaniro ni kweheria Ruto wathani-ini, ti gwetha kingpin’

TURKANA CRUDE OIL THEFT🚨Why Tanzania Rejected Ruto& Aliko Dangote Crude Oil Plan Relocating To Kenya
▶︎

TURKANA CRUDE OIL THEFT🚨Why Tanzania Rejected Ruto& Aliko Dangote Crude Oil Plan Relocating To Kenya

HARUSI YA KIJESHI JKU
▶︎

HARUSI YA KIJESHI JKU

From Minnesota to Dandora dumpsite: The story of an American citizen abandoned in Kenya at just 13.
▶︎

From Minnesota to Dandora dumpsite: The story of an American citizen abandoned in Kenya at just 13.

#live: RAIS SAMIA AKIFUNGUA MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA MAWAKILI WA SERIKALI, ARUSHA | JULAI 13, 2026
▶︎

#live: RAIS SAMIA AKIFUNGUA MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA MAWAKILI WA SERIKALI, ARUSHA | JULAI 13, 2026

Askofu Bagonza Atoa Tafakari Nzito: Hali ya Siasa, GEN-Z na Tunapoelekea
▶︎

Askofu Bagonza Atoa Tafakari Nzito: Hali ya Siasa, GEN-Z na Tunapoelekea