MAONI: Uchaguzi wa Marekani- Ni Kamala Harris au Donald Trump?
Uchaguzi wa Marekani mwaka 2024 unawakutanisha Kamala Harris na Donald Trump Kwenye kinyang'anyiro. Takriban watu milioni 240 wanatarajiwa kupiga kura katika uchaguzi huo. Marekani inakwenda katika uchaguzi katika kipindi ambacho ulimwengu unakabiliwa na mambo mengi magumu ikiwemo, kupanuka kwa Mzozo wa Mashiriki ya Kati, Vita vya Urusi na Ukraine, mizozo kadha wa kadha kule Afrika ukiwemo wa Sudan lakini pia majanga ya kiafya na madhila ya mabadiliko ya tabia nchi. Je ni masuala yapi yatawashawishi wapiga kura? Mengi ni kwenye kipindi cha Maoni mbele ya meza ya duara. Nahodha ni Sudi Mnette. #DWKiswahili #DWMaoni

▶︎
République Démocratique du Congo c. Ouzbékistan à la Coupe du Monde de la FIFA 2026 ™ en 30 minutes!

▶︎
DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Podcast | Dunia Yetu | Leo Mchana | 27.06.2026 | Swahili News

▶︎
AHMEDY ALLY AUNGURUMA BAADA YA USHINDI YANGA WANABEBWA NA MAREFA OKELLO NI MCHEZAJI WA MECHI NDOGO

▶︎
MAONI: Mvutano wa kumuondoa Gachagua madarakani yageuka mtihani kwa mahakama Kenya

▶︎
Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

▶︎
Full Debate: Harris vs. Trump in 2024 ABC News Presidential Debate | WSJ

▶︎
Maoni: Tanzania na kanuni mpya na vyombo vya habari vya kigeni

▶︎
Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

▶︎
Maoni wiki hii: Mkutano wa kilele wa Nairobi umekuwa na manufaa?

▶︎
Austria Drama, Messi Scores Again | FIFA World Cup 2026 Highlights | Sportschau

▶︎
Why Ibrahim Traoré is winning and what greedy African politicians must learn from him | LNN

▶︎
DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Podcast | Dunia Yetu | Leo Jioni | 26.06.2026 | Swahili News

▶︎
MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

▶︎
WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

▶︎
President, Julius Malema’s round table discussion on the Frank Dialogue

▶︎
DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Podcast | Dunia Yetu | Leo Mchana | 26.06.2026 | Swahili News

▶︎
Press Statement by Ousmane SONKO, Pastef - The Patriots

▶︎
Jeffrey Sachs LIVE | Sachs Brutally Roasts Donald Trump, Drops Shocking War Prediction | Netanyahu

▶︎
Maoni: Mzozo wa Iran wazusha wasiwasi duniani kote

▶︎
