TUNAIMBA NA KUSHANGILIA Fabiano Lungalaba

Masista Wamisionari wa Shirika la Moyo Mtakatifu wa Yesu na Maria Singida -Tanzania, tunakuletea wimbo unaoitwa TUNAIMBA NA KUSHANGILIA .Ni wimbo unaoonesha furaha na shukrani zetu za dhati kwa Mungu kwa kutuwezesha kufikia miaka 25 tangu kuanzishwa kwa shirika letu hapa Tanzania, na miaka 140 kwa ulimwengu mzima. Tunamshukuru Mungu kwa utume aliotujalia. Karibu ututazame Usisahau ku-like , ku-share, ku-comment na ku- subscribe katika channel yetu pendwa ya UNITUME BWANA Na MUNGU akubariki sana.