ZINGATIA VYAKULA HIVI ILI KUKU WAKO WATAGE MAYAI MENGI NA BORA

Jinsi ya kumfanya kuku atage mayai mengi , makubwa na bora uwa hutegemea aina ya chakula anachokula. #kuku #kilimo #vanila 👉Vyakula kama majani, tangawizi(ginger), Vitunguu saumu(Garlic),mashudu na madini 👉Kujifunza jinsi ya Kutumia vitunguu saumu kwa kuku wako upate mayai mengi. na faida zingine fuatilia somo hili👇    • FAIDA 7  ZA  VITUNGUU SAUMU  KWA KUKU!!!   👉Faida za majani kwa kuku    • FAIDA YA MAJANI MABICHI KWA KUKU WAKO   👉Kwa video zetu usishau ku subscribe🙏 🙏kuwasiliana nasi +255765467484 wasap na telegram pekee